Nikitoka nje mashine inasuasua sana

Nikitoka nje mashine inasuasua sana

Tunguja

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2018
Posts
501
Reaction score
406
Nikichepuka utendaji unakuwa hafifu sana,hata niwe nimechepuka na mwenye mvuto zaidi ya niliyenaye,wakati mwingine naishia kupapasa papasa tu na kuvaa T-BETTER,ila nikirudi kunako husika mashine wima wima ,nimefikia maamuzi sasa kuchepuka basi.
Hii inatokana na nini hasa wakuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba niwe wa kwanza kukupa taarifa nzuri. Roho wa Mungu bado yupo ndani yakoo.
*****Kitu kingine energy connection kati ya wewe na mke wako imekuwa kubwa sana kiasi kwamba ukitaka kufanya connection nyingine yeyoye ile inauliwa kiraisi sana na energy connection kubwa uliyonayo toka kwa mkeo****

Chukulia mfano umeme ambao haujapitia kwenye Transformer uunganishe direct nyumbani unanunguza vifaaa vyote. Sasa ukichepuka unakuwa una umeme mkubwa sana kati yako na mkewe halafu ule wako na mchepuko unakuwa mdogo sana kwaio unaunguza hisia zote kati yako na mchepukaji wako..

Watu wanaochepuka na kuinjoy mara nyingi unakuta energy zao zimeisha bguvu sana au hazikupata kabisa nguvu.



Ubarikiwe kwa kuwa na upendo na mkeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha tafadhari ya hoyo dude kulegalega ukiwa nje
Nikichepuka utendaji unakuwa hafifu sana,hata niwe nimechepuka na mwenye mvuto zaidi ya niliyenaye,wakati mwingine naishia kupapasa papasa tu na kuvaa T-BETTER,ila nikirudi kunako husika mashine wima wima ,nimefikia maamuzi sasa kuchepuka basi.
Hii inatokana na nini hasa wakuu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom