Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,464
- 6,510
Zero IQ katika ubora wake.
Kamanda bado ujapata mke?Sijui ni mimi tu pekee au kuna na wengine?, Naomba nipate Uzoefu wenu. Mimi huwa nikitoka kufanya mapenzi huwa nakula kama mchwa. Nakula mara mbili ya kile chakula nilichokuwa nakula kabla na njaa huwa inaniuma mara kwa mara.
Sasa sijui tatizo ni nini wakuu.
njaa ni mbaya
Sasa sisi wengine baada ya 'kula' tunakula sana na kisha tunalala sanaMim usingizi jamani naweza bebwa nikatolewa nje sijielewi