wigo
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 913
- 501
Wapo watu wasiopenda kusoma wanaokosoa usomaji wa vitabu hivi. Hoja yao kubwa ni eti pesa hazipo vitabuni na kwamba vitabu hivi ni kujiburudisha nafsi tu na hakuna lolote.Nikiri kwamba nilipoanza kusoma vitabu vya Robert Kiyosaki nilionekana kwa wapenda Fiction kama natafuta faraja.
Lakini nikasoma.
Rich dad poor dad
Cashflow Quadrant
Why we want you rich
Guide to Investment
Retire Young Retire Rich
The Bussiness of 21st century na kadhalika.
Lakini hatimaye Nikaona mabadiliko.Kweli vitabu hivi vimebadili kabisa maisha yangu. Vilianza na kugeuza mtazamo wangu kwenye mambo ya fedha na baadae nikaanza kutendea kazi. Nimeona mabadiliko. ni vitendo.
Kama una tabia ya kusoma unaweza kutafuta vitabu vya Stephen Covey ambavyo kwa kweli nimeona mshindo kwa mwenendo wangu.
7 habits of highly effective people
7 habits of highly effective FAMILY
The 8th habit
First things first
The speed of trust
Nathamini watu ambao kushirikiana maarifa.
vitabu hivi vipo katika audio (AUDIO BOOKS) na E-BOOKS pia, vinapatikana dsm na mikoani kwa ujumla,pia tunakuletea pale ulipo dsm.hata mikoani tunakutumia kwa basi au DHL.
wasiliana nasi au oda leo :
0656 579305
0684 579305
email: wigotz@gmail.com