mbuyake
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 347
- 630
ilikuwa jana mwenzenu kazi zangu ni za ucku nilichomoka kwenda kazini nikasahau simu nyumbani asubuhi nilipofika home nimekuta missed call tisa za namba ngeni hapohapo nikakutana na msg kwa mbona hupokei cm yangu utanifuta ukipenda kwenye voda yangu basi niaanza kumpigia hapokei huyu demu qwangua nikikata na kurudia nakuta ipo bize nasubiri hata abip lakin hafanyi hvo nimepiga zaidi ya mara kumi lakin kagoma kupokea nini nifanye jamani