maliyamungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 564
- 412
- Thread starter
- #21
daaa! nimeumia si kidogo, ila haya mambo ya kuchunguza chunguza nayo si mazuri.
we kausha muwekee vikwazo (hahahaha tafuta uzi flani wa jamaa alimuwekea vikwazo demu wake). pokonya kimtaji taratibuuu alafu lala mbele.
Umenifundisha jambo nalifanyia kazi nijikopeshe mtaji kidogo kidogo then ndio nimuache