Nikipata majibu ya maswali haya narudi CHADEMA

Kamanda naomba unisaidie majibu tu.

Yaliyopita sii ndwele tugange yajayo C.D.M wewe na uzandiki wako ni mangapi uliyomkosea MUUMBA WAKO na usamehewa hewa ya bure afya unapewa nzuri anakuangazia jua mchana usingingizi unapewa bure hatuishi kwa visasi kusameheana , mapendo, amani,ndio nguzo ya watu wenye hofu ya MUNGU wivu majungu , fitna, uchawi ni Nguzo za shetani wewe upo kwenye nguzo ipi mdau.
 
Join Date : 25th April 2015
Posts : 33
Rep Power : 307
Likes Received34
Likes Given0 April syndrome
 
Hapo pekundu - does it include cheating, lying, misinformation, disinformation? Kama CDM ikichukua madaraka tutajuaje ni lini tuamini sera, mipango na ahadi zinazotolewa na viongozi na lini tujue kuwa "they are just dancing according to the tunes"?

Ni muhimu mwandani wa CDM ajibu hizi hoja. Kukomaa kisiasa kunahitaji serious and respectable discourse on important issues like these. Kutukanana na kuwa-dismiss wachangiaji may make you feel good BUT itaua mvuto wa chama. We don't want that - do we?

I wish u could have understand my logic......
 
kuchanganyikiwa si kuchanganyikiwa![/QUOTE said:
Kweli kabisa,wewe umechanganyikiwa,maana badala ya kujibu maswali,unauliza maswali!
Leo nimekubali kuwa kuna watu wanastahili kuitwa misukule,japokuwa si neno zuri kwa binadamu mwenzangu,ila kwa viumbe tofauti na binadamu ambao hawatumii kichwa kifikiri,wanastahili kuitwa misukule.
 
nani kakualika.........? subiri ukuu wa wilaya.
Nataka kurudi Chadema mara baada ya .....

Nitayaamini maneno yanayotolewa na wanachadema siku siku haya maswali yakipatiwa majawabu

Natamani sana kuwa Kamanda lakini haya yananitatanisha,naombeni majibu ili nifanye maamuzi magumu.

1.Walituambia kuwa chama cha wananchi CUF ni tawi la ccm,wakaenda mbali kwa kuwaita kuwa ni chama cha Mashoga ghafla wakasahau matusi yao na wakaanza mashirikiano Mapya,Je ile tuhuma iliishia wapi?

2.Chadema walituaminisha kuwa Chama cha NCCR mageuzi kimejaa Usalama wa Taifa,wakaenda mbali wakamkejeli Mbatia, tena ndani ya Bunge kuwa,yupo Upinzani huku akiitumikia ccm,ghafla tu Mbatia ni Mshirika namba Mbili wa Ukawa bila watanzania kuelezwa kama zile tuhuma zilikuwa za kweli au za kutunga kwa nia ya kuwalaghai watu.

3.Chadema kwenye Ilani yake 2010 walituambia kuwa tukiwachagua hawatachukua posho kama hatua mojawapo ya kuonyesha kwa vitendo kuchukizwa na matumizi mabaya ya serikali.Je Kwanini wamekiuka Ilani yao?

4.Chadema Mwaka 2011 walikataa kushirikiana na vyama vya Upinzani ili kuunda kambi ya Upinzani yenye sauti na nguvu,wakatuambia kuwa Vyama vyote ni mawakala wa ccm isipokuwa Chadema,hivyo kushirikiana nao ni kurudisha nyuma harakati za ukombozi,ghafla tu baraza kivuli la mawaziri likavunjwa na wale vibaraka wa ccm wakaingizwa kwenye kambi ya upinzani bila sisi wafuasi kuambiwa ni lini ukibaraka wao umeisha mpaka wakaaminiwa.

5.Tuliambiwa kuwa David Kafulila ni mtu hatari kwa ustawi wa Upinzani hasa Chadema,tukaambiwa ni Sisimizi ambae hana umuhimu wowote ndani ya Chadema ,ghafla tu Sisimizi kageuka tembo,Mtu hatari kageuka Shujaa na sasa ananadiwa na viongozi wa Chadema kuwa ukawa imepata tuzo,Je ni lini kafulila alianza kuaminiwa ?

6.Tuliambiwa tena kuwa ,Serikali kutumia mashangingi huku Zahanati hazina dawa ni kiwango cha juu cha Ubinafsi,Mbowe akalikataa Shangingi la Kiongozi wa Upinzani....ghafla nimemuona Bukoba akiwa na Shangingi lenye maandishi KUB. Je ndio lilelile alilolikataa hadharani au ni lingine?

7.Mbowe alituahidi kwenda mahakamani,na kudai kuwa wanasheria wake wanaandaa mashtaka dhidi ya Zitto Kabwe baada ya Zitto kumtuhumu kuwa alipokea fedha toka kwa makada wa ccm na kuwa alicheza dili ns Kinana kuhusu deni analodaiwa na NSSF.Je taratibu za ufunguaji kesi ziliishia wapi ?

8. Chadema Mwaka 2011 ilitangazia Umma kutomtambua Rais Kikwete kwakuwa alishindwa na Slaa,ghafla wanatangaza kuomba mashauriano na Rais waliemkataa,wakafika Ikulu kujadiliana juu ya maswala mbalimbali ya Kitaifa,wakanywa Juice na kupiga picha,Je ni lini Chadema ilianza kumtambua Rais na kwanini sisi wananchi hatukuelezwa kuwa kuanzia sasa Kikwete ni Rais?
Sina nia ya kuibua Marumbano yasiyotujenga bali nataka mtu mwenye uelewa mkubwa kuliko mimi anaondoe Uvulivuli ili nami nijitambue.


Naomba nijibiwe hayo ili nami niwe Kamanda nitakaeitetea Chadema popote.

Hayo Majawabu yakipatikana,ndio utakuwa mwisho wa Chama cha ACT-Wazalendo maana umma utaiamini Chadema na hivyo kuiunga mkono.

Kama Maswali yakikosa Majibu basi Chadema itakosa uhalali wa kutuhumu ACT-Wazalendo na viongozi wake na hivyo wananchi wataendelea kujiunga na ACT-Wazalendo kwa kuamini kuwa maneno yoyote yanayotolewa na Chadema ni Ulaghai.

Karibuni kwa majibu Makamanda ili nasi tupate chakuwaambia wananchi ili waipuuze ACT-Wazalendo.
 
Yaani hata mwaka haujaisha tayari umeshataka kurudi Chadema!! Tena kwa kutaka wakujibu maswali yako!! Tulia mkuu, kubadilika badilika namna hii kunaleta kutotabirika. Unawauliza watoa maoni unadhani utapata majibu?? Peleke hizi maswali kwa Uongozi wa Chadema.

Baki uliko na ufanye mabadiliko huko. Wala hutawahitaji Chadema!! Unaonesha hupendi ulikokwenda.
 
Nilicho gundua wanachama wa ACT wanajazba sana. Nadhani hata wao.hawapendi katiba yao iliyo badilishwa na mwanachama wa siku saba aliye jipa utaswira na unuru wa chama. Watafanyaje sasa wengi wao ndio wameisha hama chadema kurudi hawawezi?. Yale waliyo kua wanadai yanapindishwa chadema ndio hayo waliyo yakuta ACT ndani ya kikao cha dharura baada ya Nuru kuhamia.Ana ifumua katiba ana kuja na jina lake ana kuja na kadi zake wanachama wanashangilia Taswira imeamua. Amekua ana waamlisha anavyo taka. Akisema mtukane mbowe basi chama kizima kinamtukana akisema mtukane Slaa basi chama kizima kinafanya hivyo.Kisa kawa taswira na nuru ya chama.haaahaahaa Alisema akiondoka cdm lazima ipasuke ajabu amezunguka mikoa 11 ameambulia wanachamaa wasio zidi elfu 20. Idadi ambayo ni ndogo ukilinganisha na idadi ya wanachadema wilaya moja tu ya Ileje. Wiraya ambayo hakuna kiongozi wa kitaifa amewahi kanyaga. Kwa hali hiyo kwanini wasiwe na hasira?. Amewadanganya kua kunawabunge zaid ya 50 watahamia kwenye hicho kikoba cha Lowasa...haahaahaa labda Letsia Nyerere mchepuko wake na yule mzee chizi toka Mpanda.Kinyume na hapo nikuwapa moyo tu wanachama. Poleni ACT ( misukule ya --------. Chadema inazidi kupendwa kila kona yaani mmebaki kama mateja. Kwanini msikasilike?
 
Na mimi siondoki mpaka majibu yapatikane.

Mbona rahisi tu? Kuitana majina kulikuwa kwa pabse zote. Pili Chadema walikuwa wanawashtua wenzao kurudi latika mstari. Kwa sababu chadema ndio peke yao walikuwa wanapamvana na ccm. na hata mashambulizi mengi yalikuwa yakielekeWa chadema pekee. Najumbuka pale bungeni waliombana msamaha na kushikana mikono yakaisha. Vyama vingine vikaanza pia kuibfront ccm kikwelikweli. Cuf wakapigwa sana mtwara. Ingawa mara nyingi ccm imekuwa haitaki kabisa kuwagusa cuf na nccr wakihofia kwamva itakuwa kazi kupambana na wote kwa mpigo. Kwa hiyo kuna uturn imefanywa na vyama vyote. Wakasema tusahau ya nyuma tuanze upya. Na ndio maajabu unayoyaona kushangaa imekuwaje wanashirikiana. Huo unairwa ukomavu. Ulitaka waendelee kugonbana milele wakati aduo wanayempiga ni mmoja CCM?Sasa nikuhakikishie bila chembe ya shaka kwamba hata Zitto akibadilika kwa dhati na akaanza kweli kupambana na CCM km wengine wanavyofanya hakika automatixally ataibgia Ukawa. Ila kwa sasa hali ilivyo na kuwa na wapenzi wengi XXM hawezi kipokelewa! Hivyo tutaendelea kummnyoosha mpaka abadilike awe mwanamageuzi wa kweli! Akibadilika milango ipo wazi. Mpinzani wa kweli wa CCm lazima achukiwe na CCM.Kinyume cha hapo forget about it.

By the way unadhani ukikumbushiakumbushia hayo ndio utawatenganisha Ukawa? Ulawa sio wepesi kiasi hicho ndugu yangu. Wagombanao ndio wapatanao? Hayo unayoyadai hayapo tena ndio maana wameungana! Gutaki Jinyonge na Ayatolala wako!
 
Back
Top Bottom