johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 86,451
- 147,173
Ni Kauli nzito sana
Mbowe ni Mwenyekiti wa Chadema Chama kikuu Cha Upinzani sasa mbunge wa ACT wazalendo Chama kikuu Cha Upinzani Zanzibar kumuundia tuhuma kama hizi ni lazima vyombo vya Ulinzi na Usalama vifuatilie
Muungano ni Tunu ya Taifa
Mlale unono!
Mbowe ni Mwenyekiti wa Chadema Chama kikuu Cha Upinzani sasa mbunge wa ACT wazalendo Chama kikuu Cha Upinzani Zanzibar kumuundia tuhuma kama hizi ni lazima vyombo vya Ulinzi na Usalama vifuatilie
Muungano ni Tunu ya Taifa
Mlale unono!