omusiranga
Senior Member
- Apr 4, 2015
- 195
- 32
Nikuulize kitu. Wewe shilingi ikishuka thamani inakuathiri nini hasa. Uliambiwa bei ya mchele, unga, muhogo, itapanda?Duh unaweza ukaona mtoa post hajawahi tumia hata nusu ya muda alotumia kuandika hii post kuwaza kwa nini shilingi yetu imeshuka thamani. Pole nchi yangu Tanzania