Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,616
Wakuu nimekuwa na tatizo hasa wakati wa usiku wife huniambia karibia kila ssiku kwamba kuna maneno huwa nayaongea muda ungine yako yanaeleweka tu ila mm nakua sijielewi.
Sasa isije nikaota nachepuka nikaongea maneno maneno akajua ni kweli akaanzisha varangati.
Huu ni ugonjwa wakuu au tatizo nini hasa??
Sasa isije nikaota nachepuka nikaongea maneno maneno akajua ni kweli akaanzisha varangati.
Huu ni ugonjwa wakuu au tatizo nini hasa??