Katika mtaa niliyo bahatika kujenga banda langu la kuishi nime-"wachapa" mno wanawake. Si wake za watu, si mabinti za watu wala mabeki tatu, wote nimeburuza
Kila anayejibebisha anapata bakora anaondoka. Mtaani kwangu nimebatizwa jina la la utani naitwa "Mashine"
Sasa naona kilomita zimesonga sana, hivyo nataka kuoa. Lkn najiuliza, nikioa mke wangu si atakuwa akipita watu wanamng'ong'a kwa kuolewa na machine ya mtaa? Ningekuwa nimepanga ningehamia mbali sana na mtaa huu, lkn ndo hivo niko kwangu.
Ataongea na nani hapa mtaani ili umbea wa maisha yangu ya sasa asiusikie?
Kila anayejibebisha anapata bakora anaondoka. Mtaani kwangu nimebatizwa jina la la utani naitwa "Mashine"
Sasa naona kilomita zimesonga sana, hivyo nataka kuoa. Lkn najiuliza, nikioa mke wangu si atakuwa akipita watu wanamng'ong'a kwa kuolewa na machine ya mtaa? Ningekuwa nimepanga ningehamia mbali sana na mtaa huu, lkn ndo hivo niko kwangu.
Ataongea na nani hapa mtaani ili umbea wa maisha yangu ya sasa asiusikie?