emma shayo
Member
- Apr 10, 2015
- 78
- 16
Yaan sielewi kama ni mapenzi au ni nini yaani wife akikuta nimenyoa sirini au nimeoga nikafua pichu hua ananimandi sana anataka yote afanye yeye hivi yupo sawa au ni mambo ya kishirikina?
Yaan sielewi kama ni mapenzi au ni nini yaani wife akikuta nimenyoa sirini au nimeoga nikafua pichu hua ananimandi sana anataka yote afanye yeye hivi yupo sawa au ni mambo ya kishirikina?
Yaan sielewi kama ni mapenzi au ni nini yaani wife akikuta nimenyoa sirini au nimeoga nikafua pichu hua ananimandi sana anataka yote afanye yeye hivi yupo sawa au ni mambo ya kishirikina?
we ni mchagga!??
weka kapicha plz
Watu bwana mkipendwa shida msipopendwa shida wenzio tunatafuta hao wa kutunyoa hawapatikani we unaona unalogwa hiyo ndo kazi ya mwanamke anayejitambua asipokunyoa yeye anajua utanyolewa kwingine,na raha yake akuweke smart acha ushamba wewe,na kufua nguo zako za ndani wala si kazi yako ni yake we tafuta seti ukibadilisha weka pembeni akija atafua muda wa kujifulia ulishapita una mtu wa kukutunza.Yaan sielewi kama ni mapenzi au ni nini yaani wife akikuta nimenyoa sirini au nimeoga nikafua pichu hua ananimandi sana anataka yote afanye yeye hivi yupo sawa au ni mambo ya kishirikina?
Hahahahaaa