kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,058
- 2,182
teh teh teh teh teh!! ww mapenzi umeanza karibuni eeeh? Acha utoto !! ungekuwa karibu ningekuzaba kibao!!
Tabu ya kukulia Bara hii. Wenzio Tanga huko wanakogeshwa maji yenye mdalasini na Iliki,najua siku ukifanyiwa hivyo utakuja hapa kusema umeogeshwa maji yaliyotambikwa.
teh teh teh teh teh!! ww mapenzi umeanza karibuni eeeh? Acha utoto !! ungekuwa karibu ningekuzaba kibao!!
Acha ushamba ushafika tanga wewee watu wanatawazwaa
we ni mchagga!??
Yaan sielewi kama ni mapenzi au ni nini yaani wife akikuta nimenyoa sirini au nimeoga nikafua pichu hua ananimandi sana anataka yote afanye yeye hivi yupo sawa au ni mambo ya kishirikina?