Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,472
- 7,275
Kwa haiba ya uraisi, umakini wa kuongea, kutokumwaga mitabasamu isyokuwa na mpango, kuchagua mahali pa kuweka utani, adabu ya kiti cha uraisi n.k napata faraja sana nikimsikiliza raisi Karume kwani yoote haya anayo ......ananoga kumtazama au kumsikiliza kama kiongozi mkuu wa Dola siyo kama "huyu"!!!
Najipa moyo, kuwa duh, angalau kumbe tuna Raisi........
Najipa moyo, kuwa duh, angalau kumbe tuna Raisi........