Nikikumbuka naumia sana najuta

Nikikumbuka naumia sana najuta

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,897
Reaction score
67,394
Hellow africa

Ilikuwa siku ya juma tatu nipo zangu job siku hiyo walikuja wadada wawili wamevalia nikabu, walikuja wakaongea na mtoa huduma mwingine akawapa maelekezo lakin wakaona hawamuelewi,wakati wanapewa maelekezo mimi pia nilikuwa na client mwingine am cool person hasa napo mwelekeza mtub

Baada ya kumaliza huduma kumpa yule client wangu nikawa natoka naenda juu ofisi ya mapato kuna mgonjwa alikuwa kazuiwa kupewa matibabu kutokana na deni lake la nyuma, ndipo nikakutana na wale wadada wa nikabu wakiomba niwasaidie mama yao ni mgonjwa na hawana mtu wa kuwasaidia tena kwa muda ule mgonjwa alikuwa anatakiwa apewe damu lakini kama mnavyo jua lazima awepo mtu wakuchangia damu

Nikawasikiliza pale njee nikachukua memo nikaandika nikawapa wapeleke wodini kwa incharge kuwa mgonjwa apewe damu wakati uho ndugu wakitafuta mtu wakuchangia

Basi mazoea ndipo yalipo anzia hapo simu nyingi kila siku wakilalamika siku mmoja mama yao alikuwa anapelekwa dialysis ila mama yao alikuwa anasikia maumivu sana sasa aliwapigia simu Watoto wake akiomba apelekewe dawa na mtu kabla ya kufanya dialysis n hatakiw kunywa dawa ya aina yoyote

Wakapiga tena simu kwangu wakiomba msaada bila kujua nikaenda kwa mphamasia nikaomba peniv nikaenda wodini nikampa dawa yule mama nikasepa duh nilivyo rudi nikiwa naanda mpango kazi simu ikapigwa kutoka kwa wod incharge kuwa client wako wame mletea mama huyu dawa kwahiyo wameharibu mgonjwa hatakiwi tena kwenda dialysis mpaka masaa nane au lah apew maziwa ongeao na watoto wa huyu mama haraka sana waje alikuwa anaongea kwa ukali

Na mimi nikaamisha majesh yangu kwa watoto wa yule mgonjw nilifoka sana nikawauliza mnataka mama yenu afe mje mseme nimemuua mimi na maagizo mlipewa nikaingia mfukon nikanunua maziwa nikampelekea yule mama anywe ikawa ndio mwazo na mwisho kuamin client najutaga mpaka leo
 
pole ndugu,
sababu ya hao wadada kufanya hivyo ni kuchanganyikiwa tu, kuna hali flani hivi ya kudata kama ukiwa na mgonjwa ana hali mbaya alafu ni mtu wako wa karibu sana.

ungeendelea kuwasaidia hao wadada ata kwa kuwaelekeza na kuwashusha wenge.
Nialiacha kwasababu nyingi mazoea yakizid usiku unapigiwa siimu ila niliwasaidia mpaka walipo pata msahamaha wa matibabu
 
Hellow africa

Ilikuwa siku ya juma tatu nipo zangu job siku hiyo walikuja wadada wawili wamevalia nikabu, walikuja wakaongea na mtoa huduma mwingine akawapa maelekezo lakin wakaona hawamuelewi,wakati wanapewa maelekezo mimi pia nilikuwa na client mwingine am cool person hasa napo mwelekeza mtub

Baada ya kumaliza huduma kumpa yule client wangu nikawa natoka naenda juu ofisi ya mapato kuna mgonjwa alikuwa kazuiwa kupewa matibabu kutokana na deni lake la nyuma, ndipo nikakutana na wale wadada wa nikabu wakiomba niwasaidie mama yao ni mgonjwa na hawana mtu wa kuwasaidia tena kwa muda ule mgonjwa alikuwa anatakiwa apewe damu lakini kama mnavyo jua lazima awepo mtu wakuchangia damu

Nikawasikiliza pale njee nikachukua memo nikaandika nikawapa wapeleke wodini kwa incharge kuwa mgonjwa apewe damu wakati uho ndugu wakitafuta mtu wakuchangia

Basi mazoea ndipo yalipo anzia hapo simu nyingi kila siku wakilalamika siku mmoja mama yao alikuwa anapelekwa dialysis ila mama yao alikuwa anasikia maumivu sana sasa aliwapigia simu Watoto wake akiomba apelekewe dawa na mtu kabla ya kufanya dialysis n hatakiw kunywa dawa ya aina yoyote

Wakapiga tena simu kwangu wakiomba msaada bila kujua nikaenda kwa mphamasia nikaomba peniv nikaenda wodini nikampa dawa yule mama nikasepa duh nilivyo rudi nikiwa naanda mpango kazi simu ikapigwa kutoka kwa wod incharge kuwa client wako wame mletea mama huyu dawa kwahiyo wameharibu mgonjwa hatakiwi tena kwenda dialysis mpaka masaa nane au lah apew maziwa ongeao na watoto wa huyu mama haraka sana waje alikuwa anaongea kwa ukali

Na mimi nikaamisha majesh yangu kwa watoto wa yule mgonjw nilifoka sana nikawauliza mnataka mama yenu afe mje mseme nimemuua mimi na maagizo mlipewa nikaingia mfukon nikanunua maziwa nikampelekea yule mama anywe ikawa ndio mwazo na mwisho kuamin client najutaga mpaka leo
Stupid
 
Wewe jifanye msamalia mwema utakuja kuuwawa, kufungwa au kupigwa... Timiza wajibu wako sawasawa na taratibu sheria na miongozo ya kazi yako... Mimi ktk maisha yangu ya kazi simsaidii mtu kwa hisia za furaha au huruma... Clients ukiwasaidia ×10 ukakosea ×1 lawama zote za shetani watakupa wewe... Na watu watahisi ulikua unasaidia kwasabab umepewa rushwa ya aina fulani...
 
Ningeshangaa sana kama uzi ungekosa hata mjinga mmoja wa hivi.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We boya tulia toto zinajilengesha unaleta upimbi au timu upinde
 
Kwa hiyo ukaacha kazi uliyoajiriwa ukajiongeza na huduma ya huruma pia.

Ushauri unatosha sasa wewe ukawa mwana familia kabisa mara ukanunue dawa, mara mbio ukalete maziwa

Jamani kama mnatafuta thawabu zipo nyingi ila sio makazini
 
Kwa hiyo ukaacha kazi uliyoajiriwa ukajiongeza na huduma ya huruma pia.

Ushauri unatosha sasa wewe ukawa mwana familia kabisa mara ukanunue dawa, mara mbio ukalete maziwa

Jamani kama mnatafuta thawabu zipo nyingi ila sio makazini
😂😂😂😂 kuna muda unaguswa
 
Back
Top Bottom