Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Nilianza mimi kuingiza ikakataa, basi nikamwambia mwenzangu anisaidie tuingize kwakusaidia pamoja kila mtu akiwa ameishika ikakataa kuingia.
Mwenzangu akasema tundu lake ni dogo haiwezi penya au kuingia kabisa.
Tundu hilo hilo ndo inaingilia kwenye nyingine lakini hii pin kubwa ya nokia imekataa kwenye samsung.
Mwenzangu akasema tundu lake ni dogo haiwezi penya au kuingia kabisa.
Tundu hilo hilo ndo inaingilia kwenye nyingine lakini hii pin kubwa ya nokia imekataa kwenye samsung.