Nikiingiza haiingii

Alexism

JF-Expert Member
Aug 14, 2011
3,423
2,045
Nilianza mimi kuingiza ikakataa, basi nikamwambia mwenzangu anisaidie tuingize kwakusaidia pamoja kila mtu akiwa ameishika ikakataa kuingia.
Mwenzangu akasema tundu lake ni dogo haiwezi penya au kuingia kabisa.
Tundu hilo hilo ndo inaingilia kwenye nyingine lakini hii pin kubwa ya nokia imekataa kwenye samsung.
 
Nilianza mimi kuingiza ikakataa, basi nikamwambia mwenzangu anisaidie tuingize kwakusaidia pamoja kila mtu akiwa ameishika ikakataa kuingia.
Mwenzangu akasema tundu lake ni dogo haiwezi penya au kuingia kabisa.
Tundu hilo hilo ndo inaingilia kwenye nyingine lakini hii pin kubwa ya nokia imekataa kwenye samsung.
aiseeeeeeeeeeehhh haya baaana
 
aiseeeeeeeeeeehhh haya baaana
Pin ndogo ya Nokia unaipeleka kwenye Samsung haaaaaah! Unatekesha lakini ngoma lazima igome, na usipo angalia uking'ang'ania simu yako haitangiza charge kabisa au kiswahili kingine simu imelala doro.
 
Nilianza mimi kuingiza ikakataa, basi nikamwambia mwenzangu anisaidie tuingize kwakusaidia pamoja kila mtu akiwa ameishika ikakataa kuingia.
Mwenzangu akasema tundu lake ni dogo haiwezi penya au kuingia kabisa.
Tundu hilo hilo ndo inaingilia kwenye nyingine lakini hii pin kubwa ya nokia imekataa kwenye samsung.

Mkatiane, hiyo chaja maana yake haina kazi tena kisha mkapakuliwe huko nyuma na Juma Maana Amepika Pilau Tamu Sana.
 
Back
Top Bottom