Nikalikuta 'vuvuzela' kanisani

Nikalikuta 'vuvuzela' kanisani

Baba Mtakatifu Francisco wakati wa Sala ya Malaika wa Bwana??????????? kwenye Maadhimisho ya Siku kuu ya Watakatifu Petro na Paulo, miamba wa imani anasema, hii pia ni Siku kuu ya Jimbo kuu la Roma ambalo limejengekwa katika ushuhuda wa kifo dini cha Mitume hawa wawili???????
Ndugu zangu kauli hii ya baba mtakatifu haiwezi kukubalika bila kufanyiwa kazi na utafiti wa hali ya juu,anazungumzia Petro tunayemjua aliyekuwa Mwanafunzi wa Yesu au Petro mwingine?na huyu mtume Paulo anayezungumziwa ni huyu tunayemjua au mwingine?
Hivi kanisa la Roma lilianzishwa lini?na nani hasa mwanzilishi?huo uzushi wa kusema ni mtume Petro na Paulo haukubaliki hata kidogo
Mama Maria ameingizwaje hapo?katika kusoma kwangu Biblia sijawahi kuona mahali Yesu ameongea kuhusu Mama Maria ambaye alikuwa Mama yake Yesu,wala Biblia haijaelezea kwa kina historia ya huyu Mama zaidi ya kumshukuru kwa kutuzalia Mwokozi
Eti Kanisa limejengwa kwenye Mathayo 16:18,nami nakuambia wewe ndiye Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa langu wala milango ya kuzima haitalishinda???????
Yesu aliongea kwa mafumbo kamwe kanisa hai la Mungu haliwezi kujengwa juu ya Binadamu,aliongea parable,
Sijasoma popote pale Yesu aliposema mkitaka maombi yenu yafike Mbinguni mwombeni Mama yangu ayalete???huo ni ujinga ambao hauvumiliki,nataka mjue kwamba ujinga ni dhambi,
Mkitaka kusali semeni hivi,Baba yetu uliye Mbinguni,jina lako litukuzwe,Ufalme wako uje,mapenzi yako yatimizwe hapa Duniani kama huko Mbinguni,utupe leo riziki yetu,utusamehe makosa yetu kama nasi tunavyosamehe waliotukosea,usitutie majaribuni bali utuoke na Yule mwovu,kwa kuwa ufalme ni wako na nguvu na utukufu hata milele Amin!!!!
Je kuna Mama Maria hapo?ndivyo Petro alivyofundishwa ,je mnataka kusema Petro alipotoka na kufundisha mambo tofauti na aliyofundishwa?petro asingeweza kugeuza aliyofundishwa na Yesu na kuchomeka majina na taratibu ambazo hakupokea kutoka kwa master wake
Mtume Paulo tunajua background yake alipokuwa njiani kuelekea Damasks kuwakamata Wakristo walioamini akatokewa na Yesu njiani na kupigwa upofu,kisha akapewa majukumu ya kufanya,katika majukumu sijaona jina la Mama Maria hapo
Ni nini hasa kipo nyuma ya kanisa la Roma?na kwa nini wamebadili Biblia inayosomwa na makanisa yote na kubadili baadhi ya vifungu,
Someni kitabu cha Matendo ya Mitume,soma chote na rudia mara kadhaa utajua jinsi Kanisa lilivyoanzishwa,wakati wa kufata mkumbo umepita ndugu zangu,kaa chini tafakari kama kweli imani unayofata na njia unayofata ya kumwabudu Mungu ni sahihi,hata kama umezaliwa ndani ya kanisa la Roma una haki ya kujiuliza kama kweli upo mahali panapostahili au la!!!!!
Wakatoliki ni brain washed wao na sanamu. sanamu na wao.
 
Uliposema vuvuzela nikajua
unamaanisha mtu fulani. Kumbe ni vuvuzela la ukwee kanisani.Ubarikiwe
sana kama ulilifurahia kwenye kumsifu Mungu.

hata mie nilifikiria hivohivo?
 
Naona hujiamini kama umeenda kupeleka posa kwa mtoto wa kihindi tuwahoji ili iweje kwani ninyi huwa mna kitu mnachofanya ambacho kimeandikwa,nyie huwa c mambo yenu mpendavyo wenyewe,kuoana mashoga ruksa,padri shoga ruksa,kuvisosonora vikondoo vidogo ruksa,sasa tushangae vuvuzela hata mdundiko hatushangai,just keep it on....!


Wapi kolani inaruhusu wewe uwe memba wa JF?
 
Nisamehe bure Mkuu! Mavuvuzela ni mengi mno mkuu, hilo nalijua mimi tu kuwa ni livuvuzela! Sikujua kama na wewe unalijua hivyo mkuu!
Huna haja ya kuungama kiasi hicho Manjagata! Hilo livuvuzela linajulikana ulimwengu mzima, kiasi kwamba ukisimama pale Mnazi Mmoja na kuuliza kwa sauti kubwa:Yuko wapi vuvuzela? Litatokea kundi la vijana wakijitolea kukupeleka ukamwone vuvuzela.Watakuonesha jengo moja la ghorofa na kukuambia:Ukienda pale utamkuta.
 
Last edited by a moderator:
Baba Mtakatifu Francisco wakati wa Sala ya Malaika wa Bwana??????????? kwenye Maadhimisho ya Siku kuu ya Watakatifu Petro na Paulo, miamba wa imani anasema, hii pia ni Siku kuu ya Jimbo kuu la Roma ambalo limejengekwa katika ushuhuda wa kifo dini cha Mitume hawa wawili???????
Ndugu zangu kauli hii ya baba mtakatifu haiwezi kukubalika bila kufanyiwa kazi na utafiti wa hali ya juu,anazungumzia Petro tunayemjua aliyekuwa Mwanafunzi wa Yesu au Petro mwingine?na huyu mtume Paulo anayezungumziwa ni huyu tunayemjua au mwingine?
Hivi kanisa la Roma lilianzishwa lini?na nani hasa mwanzilishi?huo uzushi wa kusema ni mtume Petro na Paulo haukubaliki hata kidogo
Mama Maria ameingizwaje hapo?katika kusoma kwangu Biblia sijawahi kuona mahali Yesu ameongea kuhusu Mama Maria ambaye alikuwa Mama yake Yesu,wala Biblia haijaelezea kwa kina historia ya huyu Mama zaidi ya kumshukuru kwa kutuzalia Mwokozi
Eti Kanisa limejengwa kwenye Mathayo 16:18,nami nakuambia wewe ndiye Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa langu wala milango ya kuzima haitalishinda???????
Yesu aliongea kwa mafumbo kamwe kanisa hai la Mungu haliwezi kujengwa juu ya Binadamu,aliongea parable,
Sijasoma popote pale Yesu aliposema mkitaka maombi yenu yafike Mbinguni mwombeni Mama yangu ayalete???huo ni ujinga ambao hauvumiliki,nataka mjue kwamba ujinga ni dhambi,
Mkitaka kusali semeni hivi,Baba yetu uliye Mbinguni,jina lako litukuzwe,Ufalme wako uje,mapenzi yako yatimizwe hapa Duniani kama huko Mbinguni,utupe leo riziki yetu,utusamehe makosa yetu kama nasi tunavyosamehe waliotukosea,usitutie majaribuni bali utuoke na Yule mwovu,kwa kuwa ufalme ni wako na nguvu na utukufu hata milele Amin!!!!
Je kuna Mama Maria hapo?ndivyo Petro alivyofundishwa ,je mnataka kusema Petro alipotoka na kufundisha mambo tofauti na aliyofundishwa?petro asingeweza kugeuza aliyofundishwa na Yesu na kuchomeka majina na taratibu ambazo hakupokea kutoka kwa master wake
Mtume Paulo tunajua background yake alipokuwa njiani kuelekea Damasks kuwakamata Wakristo walioamini akatokewa na Yesu njiani na kupigwa upofu,kisha akapewa majukumu ya kufanya,katika majukumu sijaona jina la Mama Maria hapo
Ni nini hasa kipo nyuma ya kanisa la Roma?na kwa nini wamebadili Biblia inayosomwa na makanisa yote na kubadili baadhi ya vifungu,
Someni kitabu cha Matendo ya Mitume,soma chote na rudia mara kadhaa utajua jinsi Kanisa lilivyoanzishwa,wakati wa kufata mkumbo umepita ndugu zangu,kaa chini tafakari kama kweli imani unayofata na njia unayofata ya kumwabudu Mungu ni sahihi,hata kama umezaliwa ndani ya kanisa la Roma una haki ya kujiuliza kama kweli upo mahali panapostahili au la!!!!!

Tuache na Ukatoliki wetu wewe endelea na kina gwajima...... Waswahili walisema MASIKIO HAYAZIDI KICHWA....
 
Jumapili iliyopita nilihudhuria misa takatifu katika Kanisa katoliki la Mt.Anoarite,Makuburi Dar es Salaam. Ni misa ya kuanzia saa tano na robo asubuhi. Katika misa hiyo ya kuadhimisha sikukuu ya Watakatifu Petro na Paulo,wanakwaya wa Kwaya ya Mt.Kizito walitumia, pamoja na ngoma na kinanda, vuvuzela kunogesha uimbaji wao. Vuvuzela lilitumika mwanzo hadi mwisho wa misa katika uimbaji.


Kiukweli,sijawahi kushuhudia vuvuzela kanisani (kanisa katoliki) wakati wa misa. Nikiri kuwa vuvuzela lilichagiza vyema uimbaji na kuufanya ujae baraka zaidi. Hongereni wanakwaya ya Mt.Kizito kwa ubunifu huu. Nilibarikiwa sana kwa misa nzima na uimbaji wenu. Vuvuzela liko juu...
vipi wanakwaya walicheza na mpira!?
 
Jumapili iliyopita nilihudhuria misa takatifu katika Kanisa katoliki la Mt.Anoarite,Makuburi Dar es Salaam. Ni misa ya kuanzia saa tano na robo asubuhi. Katika misa hiyo ya kuadhimisha sikukuu ya Watakatifu Petro na Paulo,wanakwaya wa Kwaya ya Mt.Kizito walitumia, pamoja na ngoma na kinanda, vuvuzela kunogesha uimbaji wao. Vuvuzela lilitumika mwanzo hadi mwisho wa misa katika uimbaji.


Kiukweli,sijawahi kushuhudia vuvuzela kanisani (kanisa katoliki) wakati wa misa. Nikiri kuwa vuvuzela lilichagiza vyema uimbaji na kuufanya ujae baraka zaidi. Hongereni wanakwaya ya Mt.Kizito kwa ubunifu huu. Nilibarikiwa sana kwa misa nzima na uimbaji wenu. Vuvuzela liko juu...
[h=3]Zaburi Mlango 150[/h]1 Haleluya. Msifuni Mungu katika patakatifu pake; Msifuni katika anga la uweza wake.
2 Msifuni kwa matendo yake makuu; Msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
3 Msifuni kwa mvumo wa baragumu; Msifuni kwa kinanda na kinubi;
4 Msifuni kwa matari na kucheza; Msifuni kwa zeze na filimbi;
5 Msifuni kwa matoazi yaliayo; Msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6 Kila mwenye pumzi na amsifu Bwana. Haleluya.
 
Jumapili iliyopita nilihudhuria misa takatifu katika Kanisa katoliki la Mt.Anoarite,Makuburi Dar es Salaam. Ni misa ya kuanzia saa tano na robo asubuhi. Katika misa hiyo ya kuadhimisha sikukuu ya Watakatifu Petro na Paulo,wanakwaya wa Kwaya ya Mt.Kizito walitumia, pamoja na ngoma na kinanda, vuvuzela kunogesha uimbaji wao. Vuvuzela lilitumika mwanzo hadi mwisho wa misa katika uimbaji.


Kiukweli,sijawahi kushuhudia vuvuzela kanisani (kanisa katoliki) wakati wa misa. Nikiri kuwa vuvuzela lilichagiza vyema uimbaji na kuufanya ujae baraka zaidi. Hongereni wanakwaya ya Mt.Kizito kwa ubunifu huu. Nilibarikiwa sana kwa misa nzima na uimbaji wenu. Vuvuzela liko juu...

ulikuwa hujui linapigwa sebene la kufa mtu ndio ibada hiyo
 
Back
Top Bottom