Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
Sio mchumba wa mtu ni boyfriend wa rafiki yangu
Anatoka Congo sehemu gani huyo boyfriend wa rafiki yako?
Sio mchumba wa mtu ni boyfriend wa rafiki yangu
CC kiwatenguJamani naombeni msaada wenu kwa niaba ya rafiki yangu. Kajiopolea mchumba au niseme boyfriend wa kutoka Congo ila tabia zao hazieleweki eleweki,wanagombana Kila kukicha. Yaani yuko mguu mmoja nje mmoja ndani.
Binafsi nimekua nao kwa mda mfupi nimejifunza machache anaewafahamu zaidi Mila zao na desturi afunguke hapa.
Mpaka niikague ndo ntaamini. Wakongo hawajawahi kuwaacha wajukuu zangu salamaHahahaha harudishi mtu na makinikia iko intact hagusi mtu
Jamani hiyo avatar hiyoMimi mutoto ya Joseph Kabila murais..mubaba yangu ana mapesa mengi..
Nitakupa mupenzi motomoto
Wacongo bana full fix
Jamani naombeni msaada wenu kwa niaba ya rafiki yangu. Kajiopolea mchumba au niseme boyfriend wa kutoka Congo ila tabia zao hazieleweki eleweki,wanagombana Kila kukicha. Yaani yuko mguu mmoja nje mmoja ndani.
Binafsi nimekua nao kwa mda mfupi nimejifunza machache anaewafahamu zaidi Mila zao na desturi afunguke hapa.
Point takenMwambie akimbie mara moja, wakongo wanawezana wenyewe kwa wenyewe. Yaani wako kama Nigerians, ni watu wana vitu vya chini chini sana na hawana mapenzi ya kweli si wanawake si wanaume kwani kwao (mila zao) ndivyo walivyo. Watu wanakuwa na mahusiano ila hawaaminiani kihivyo. Asing'ang'anie atakuja kujuta.