Nijuzeni tabia za wacongo

Jamani naombeni msaada wenu kwa niaba ya rafiki yangu. Kajiopolea mchumba au niseme boyfriend wa kutoka Congo ila tabia zao hazieleweki eleweki,wanagombana Kila kukicha. Yaani yuko mguu mmoja nje mmoja ndani.
Binafsi nimekua nao kwa mda mfupi nimejifunza machache anaewafahamu zaidi Mila zao na desturi afunguke hapa.
CC kiwatengu
 
kipindi nilivokuwa mdogo wakati huo nipo darasa la tatu, tulikuwa tunaishi jirani na mchungaji mmoja ambaye alikuwa ni Congolese, alikuwa na watoto watatu ili nilichokiona kwa watoto wale suala la kupendana ilikuwa ni mtihani maana walikuwa hawakai kupigana bila huruma kwa sababu ambazo zilkuwa ni za kijinga

Kwa maana hiyo inaonekana wana hulka ya kugombana ovyo.
 
Jamani naombeni msaada wenu kwa niaba ya rafiki yangu. Kajiopolea mchumba au niseme boyfriend wa kutoka Congo ila tabia zao hazieleweki eleweki,wanagombana Kila kukicha. Yaani yuko mguu mmoja nje mmoja ndani.
Binafsi nimekua nao kwa mda mfupi nimejifunza machache anaewafahamu zaidi Mila zao na desturi afunguke hapa.


Mwambie akimbie mara moja, wakongo wanawezana wenyewe kwa wenyewe. Yaani wako kama Nigerians, ni watu wana vitu vya chini chini sana na hawana mapenzi ya kweli si wanawake si wanaume kwani kwao (mila zao) ndivyo walivyo. Watu wanakuwa na mahusiano ila hawaaminiani kihivyo. Asing'ang'anie atakuja kujuta.
 
Mwambie akimbie mara moja, wakongo wanawezana wenyewe kwa wenyewe. Yaani wako kama Nigerians, ni watu wana vitu vya chini chini sana na hawana mapenzi ya kweli si wanawake si wanaume kwani kwao (mila zao) ndivyo walivyo. Watu wanakuwa na mahusiano ila hawaaminiani kihivyo. Asing'ang'anie atakuja kujuta.
Point taken
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom