yaani mdogo wangu hufai kabisa.........kabaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaang!
kauziwa mtu yatari kitu hichoooooo tukutane next episode!:yo:
yani mkaeeeeeeeeeeeeeeeee weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee miezi saba!
af chigafula tu(cc FP BTW nimekumissimo ujue dada mkubwa),ngoja niendelee
af chigafula tu eti leo twende tutacheze kibaba baba,na we tweeende
unafika kule oh ngoja ninyonye kwanza kitu tommy dairy (huyu nae sijui kaishia wapi alikuwa anatufaa kweli kwa meeting pwenti)
mara kidogo basi ngoja nitest tuu zali (ala ulijua ina mabega dogo kuwa itakwama)
sijui kikapasukia (tunajuaje labda mlivaa pulizo0
yani bado hujastuka tuuu!
muulize Nicas Mtei kama mi nakudanganya!we muulize tu!
yaani mdogo wangu hufai kabisa.........
na nimekununia ujue
Punguza hasira kidogo
kwali wamwene, lol!niiiini tena dada mkubwa niiini mamangu!
mie niwaudhi woote humu hata weeewe!kweli kamwali!kweeeli /
jovaa,kwani chaaani!?
ha haaaa, nilikuwa nakusalimu tu mdogo wangu...nene?
daaaada!
ngati kunileka kweeli?
na nilivo mchokozi lol!ha haaaa, nilikuwa nakusalimu tu mdogo wangu...
inaonekana una kesi nyingi sana wewe
Tena mtoto wa kike, anza maandalizi kaka kumpokea a newbaby girl, aah aah aah........
ha haaaa, atakugombelezea shem wako Nicas Mtei.....na nilivo mchokozi lol!
siku nikibindwa utakomaje kunigombelezea
watakuchangia ujue!
Siku ya 10 BAADA ya period ndio mahali pake. Nimekamua chuchu zangu sasa hivi, zimetoa maji maji meupe (ningekuwa na camera ningepiga picha nikuattachie) and l am not pregnant.
Kaunga come this way, kumbe nia yake huyu mtu toka huko ni ya kupata mtoto wa kiume?? umeona sasa??
basi shaka odoa hii ni siku ya kwanza ya ovulation so Y xsome iko active zaid unaweza kupata wa kiume.
uko pande zipi nikuletee camera yangu?...
I see, tunakataliwa tangia tumboni but they can't live without us.
Umesema vyema Mwl, alisubirie jambazi lake maana Y chromosome zinakiherehere (kukimbia) ingawa zafa mapema.
I see, tunakataliwa tangia tumboni but they can't live without us.
Umesema vyema Mwl, alisubirie jambazi lake maana Y chromosome zinakiherehere (kukimbia) ingawa zafa mapema.