Nijuzeni mwenzenu..

Nijuzeni mwenzenu..

labda kama amepima akaambiwa ana mimba...otherwise anataka kukufanya ----- amka kabla hujachelewa, we mwambie mkapime kama ana ujazito fanya ultra sound itakuambia umri wa mimba halafu fanya hesabu zako kama unadanganywa au la....
 
With Blaine ...he is ok..
i have no problem with him

Braza hutaki gift ndogondogo. Na naposema ndogondogo namaanisha
size yako na si masalia.

Naweza kuthibitisha pasi shaka, mnajua kulea wadada.

Am here to be approved and you wont regret i swea!
 
...kingine mwanamke anaweza kushika mimba siku ya kumi toka amalize kubleed?"huo ndio wacwac wangu...mkinijuza hayo nitajua pakuanzia tafadhali msinipuuze.

Jibu rahisi tu ni NDIO, na wala hakuna mjadala katika hilo. Kwa kuwa siku 10 after MP roughly ni kama siku ya 14 au 15 hivi, jumlisha na siku 3 za mbegu.za kiume kuwa hai unapata siku 17 au 18.
So boy, you're a dad to be...na possibly ni mtoto wa kike!!!
Laiti kama ungeusikiliza ushauri wa mwenye mwili usingekuwa na hangaiko la mtima hivi sasa.
 
Nakubaliana nawe watu8,jiandae kuwa baba!
 
Siku ya 10 BAADA ya period ndio mahali pake. Nimekamua chuchu zangu sasa hivi, zimetoa maji maji meupe (ningekuwa na camera ningepiga picha nikuattachie) and l am not pregnant.

mpendwa Kaunga, heSHMA YAko mpendwa
 
Last edited by a moderator:
Braza hutaki gift ndogondogo. Na naposema ndogondogo namaanisha
size yako na si masalia.

Naweza kuthibitisha pasi shaka, mnajua kulea wadada.

Am here to be approved and you wont regret i swea!


Haa haa there is a catch in it lol
 
Mhh!!!...no prblm ila mbona mnaxema ntapata mtoto wa kike na sio wakiume?
Kaunga come this way, kumbe nia yake huyu mtu toka huko ni ya kupata mtoto wa kiume?? umeona sasa??

basi shaka odoa hii ni siku ya kwanza ya ovulation so Y xsome iko active zaid unaweza kupata wa kiume.
 
Last edited by a moderator:
...hili nalo neno!
kwa uzoefu wangu huyo msichana atakuwa ametoa mimba hivi karibuni, na hiyo ishu ya kudai ana mimba kibongo bongo hakuna mwanamke anayeweza akajua ana mimba katika siku kumi...ZINDUKA WEWE KAMA UMELALA..
 
Back
Top Bottom