Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Mi chichemi kitu.....
Vijana wa siku hizi si sawa na sisi vijana wa zamani. Kweli vya kale ni dhahabu.
Mi chichemi kitu.....
Kaunga kumbe bado mdogo sana siee mi nilidhani umeshasahau hayo makitu!Ndio yanatoka, sinimekwambia nimekamua mimi sasa hivi na yametoka.
4 plus 10 makes 14 hivyo hiyo ni fertile period kwa mtu mwenye circle ya siku 26-30.
Unapenda niwe mdogo eeh? Pole kwa disappointment. Aisee hiyo kitu ndio pills zangu. Sina uzazi wa mpango mwingine zaidi ya huo (a very good catholic lady). Lol
Angetaka kumnasisha angesisitiza matumizi ya condom? Msimtie ujinga. Mtoto ni Baraka, wanaotafuta watoto wakisoma humu wanatamani kulia.
Hamu ilizidi, hii ni matunda yake.
Tena anatakiwa anyonye kwa bidii sasa hivi kabla mtoto hajazaliwa, manaake mtoto akizaliwa itakuwa ni zamu ya mtoto kunyonya.kijana, huyo dada anaweza akawa na mimba kweli usimkatalie cha kujiuliza ni ya kwako?na pia kutokwa na maji kwenye maziwa ni jambo la kawaida kabisaaaaa! hata kama hauna mimba wala dalili za kupata mimba.
Mambo vp wana jf? Naleta kwenu shida yangu nikiamini home of the great thinkers itanitatulia...
Sory kama nitakuwa nakiuka maadili ila sina maana mbaya...mwenzenu nina mchumba ambaye nimekuwa nae kwa muda wa takriban miez tisa mpaka sasa.,tangu nimpate miez kama sita na nusu hiv hatukuwahi kukutana kimwili mpaka ulipotimu mwezi wa 7 ndani ya uhusiano...tatizo ni kwamba mchumba huyu alivyokuja kwangu cku hiyo alidai anasiku ya kumi toka amalize mzunguko wake(period)alinisihi sana ni2mie kinga nisimuungilie hivihivi,sikukataa,mambo yalipoanza kama kawaida nilianza kumtafuta ni wapi akiguswa anasahau shida zote,wakati nafanya hivyo nilibahatika kunyonya chuchu zake but chakushangaza zile chuchu niliponyonya zilikuwa zinatoa dizaini ya majimaji yenye ladha ya maziwa nilishangaa kdogo,ila sikusema,muda ulipowadia nikazama ndani kuanza mechi,ubaya uliotokea ile condom ilipasuka na nilipopiga bao moja akakataa tena akiwaamefura hasira akidai kunauwezekano wa kushika mimba, INAENDELEA HAPO CHINI
This is your private business. Hayatuhusu.
Simu yako haina Camera? Do ze needful tupate picha. Si unajua Vijana siku hizi tunajifunza
kwa picha zaidi!
Mambo vp wana jf? Naleta kwenu shida yangu nikiamini home of the great thinkers itanitatulia...
Sory kama nitakuwa nakiuka maadili ila sina maana mbaya...mwenzenu nina mchumba ambaye nimekuwa nae kwa muda wa takriban miez tisa mpaka sasa.,tangu nimpate miez kama sita na nusu hiv hatukuwahi kukutana kimwili mpaka ulipotimu mwezi wa 7 ndani ya uhusiano...tatizo ni kwamba mchumba huyu alivyokuja kwangu cku hiyo alidai anasiku ya kumi toka amalize mzunguko wake(period)alinisihi sana ni2mie kinga nisimuungilie hivihivi,sikukataa,mambo yalipoanza kama kawaida nilianza kumtafuta ni wapi akiguswa anasahau shida zote,wakati nafanya hivyo nilibahatika kunyonya chuchu zake but chakushangaza zile chuchu niliponyonya zilikuwa zinatoa dizaini ya majimaji yenye ladha ya maziwa nilishangaa kdogo,ila sikusema,muda ulipowadia nikazama ndani kuanza mechi,ubaya uliotokea ile condom ilipasuka na nilipopiga bao moja akakataa tena akiwaamefura hasira akidai kunauwezekano wa kushika mimba, INAENDELEA HAPO CHINI