Mogela wote wawili walikuwa mafundi na mastaa unazungumzia yupi?Chama na Mogela walikuwa na kitu gani sana special mpaka wakajizolea umaarufu katika soka la bongo, naombeni mnijuze...
Itakuwa Zamoyoni Mogela ndiye anayezungumziwa hapa! Marehemu Method Mogela hakuwa mshambuliaji hivyo isingekuwa rahisi kusumbuana na Chama ambaye alikuwa mlinzi!
na enzi za methidbchama hayupoItakuwa Zamoyoni Mogela ndiye anayezungumziwa hapa! Marehemu Method Mogela hakuwa mshambuliaji hivyo isingekuwa rahisi kusumbuana na Chama ambaye alikuwa mlinzi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa vita ya uwanjani pana tukio zamoyoni kaumia anatibiwa nje ya uwanja chama kasimama penye chaki anamsubiri waendeleze mtananange kifupi hata mtaani mtu ulikuwa ukimdai sana anakwambia mbona unafanya kama chama na mogella?
Mmmmmh una maana ya marehemu Chama??Itakuwa Zamoyoni Mogela ndiye anayezungumziwa hapa! Marehemu Method Mogela hakuwa mshambuliaji hivyo isingekuwa rahisi kusumbuana na Chama ambaye alikuwa mlinzi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli ila nadhani Kuna exaggeration nyingi kuhusu Hawa wawiliSikumbuki ni mechi gani ya Simba na Yanga ambayo Zamoyoni Mogella alifunga goli huku Athumani Juma Chama akiwa beki.
Sikumbuki kabisa kwani Zamoyoni alikuwa anakuwa na wakati mgumu mno kumpita Chama (Rip).
All in all, walikuwa ni wachezaji wazuri mno kuwahi kutokea ktk nchi hii na historia itawakumbuka daima.
Mmmh nilihudhuria mechi nyingi ambapo chama na mogella walikuwa wanacheza...najaribu kurudisha kumbukumbu zangu ni wakati au mechi gani mogella ameumia na chama Yuko pembeni anasubiri, na sijapata kumbukumbu hiyo...anyway niseme tu Kuna exaggeration nyingi kuhusu Hawa wawili...ila Kuna matukio ya golikipa wa yanga.wakati huo Hamis kinye ambaye aliwahi kumtoa meno mogella....kinye alikuwa hatari ..siyo tu kwamba alikuwa mchezaji Bali alikuwa pia mpenzi, shabiki na mwanachama ambapo siku ya ya mechi ya Simba na yanga yeye anaunganisha uchezaji wake na vitu hivyo vingineIlikuwa vita ya uwanjani pana tukio zamoyoni kaumia anatibiwa nje ya uwanja chama kasimama penye chaki anamsubiri waendeleze mtananange kifupi hata mtaani mtu ulikuwa ukimdai sana anakwambia mbona unafanya kama chama na mogella?
Kwa vipi sijui.Ni kweli ila nadhani Kuna exaggeration nyingi kuhusu Hawa wawili
Ule ukuta wa Emmanuel kunde na capt Stephen tataw akina massing ulikuwa sio wa kumtuma mtoto dukani na maradona alikuwa sugu sio mchezoHahahah shukrani! Imenikumbusha mechi ya ufunguzi wa kombe la dunia la mwaka 1990 pale Italy, mechi iliyokutanisha Argentina Vs Cameroon, jinsi mabeki wa Cameroon walivyomtreat Diego Maradona
liekupeleka SHULE NDIE akufundishee AllahChama na Mogela walikuwa na kitu gani sana special mpaka wakajizolea umaarufu katika soka la bongo, naombeni mnijuze...
Kweli wewe ni mtoto nitafutie picha yoyote ambayo inaonyesha mshambuliaji wa kizazi chenu a alindwa na mabeki wa timu pinzani kama Mogella alivyokuwa anawekwa chini ya ulinzi na akina Bana na Jogoo Chama. Huyu Mogella alishachanywa kichwani akarudi na bandeji yake. Siku hizi vichezaji wa hovyo kbs zama zile unakuta jitu kama jumba limekaa nyuma jitu jitu.Wakati ule washambuliaji walikuwa hawalindwi Kama Sasa full ubabe ndio maana tulikuwa na mabeki wanaitwa ninja
Inasemwa Zamoyoni alivyoomba kutoka Basi Chama nae akatoka maana akawa ameumaliza mwendoIlikuwa vita ya uwanjani pana tukio zamoyoni kaumia anatibiwa nje ya uwanja chama kasimama penye chaki anamsubiri waendeleze mtananange kifupi hata mtaani mtu ulikuwa ukimdai sana anakwambia mbona unafanya kama chama na mogella?
Mkuu ,nadhani hujamuelewa.Kweli wewe ni mtoto nitafutie picha yoyote ambayo inaonyesha mshambuliaji wa kizazi chenu a alindwa na mabeki wa timu pinzani kama Mogella alivyokuwa anawekwa chini ya ulinzi na akina Bana na Jogoo Chama. Huyu Mogella alishachanywa kichwani akarudi na bandeji yake. Siku hizi vichezaji wa hovyo kbs zama zile unakuta jitu kama jumba limekaa nyuma jitu jitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio mtotoKweli wewe ni mtoto nitafutie picha yoyote ambayo inaonyesha mshambuliaji wa kizazi chenu a alindwa na mabeki wa timu pinzani kama Mogella alivyokuwa anawekwa chini ya ulinzi na akina Bana na Jogoo Chama. Huyu Mogella alishachanywa kichwani akarudi na bandeji yake. Siku hizi vichezaji wa hovyo kbs zama zile unakuta jitu kama jumba limekaa nyuma jitu jitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chama namjua, kinye namjua, Albert Rweymum sidhani Kama unamjua hiyo ilikuwa mwaka 84Wewe ndio mtoto