Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,810
- 8,806
Kila siku nasikia, nasoma, naangalia youtube, hata kwenye tv, na pia ni juzi tu wenzetu wametuma chombo Mars na wanasema kitafika october.
SWALI: Hawa watu(wanasayansi) wanajuaje kama MARS ipo huko na hawajawai kukosea wakatua hata venus au pluto na sayari zote zipo hewani yaan wanatua hapo hapo walipolenga
Nijulisheni hapo wanazuoni
SWALI: Hawa watu(wanasayansi) wanajuaje kama MARS ipo huko na hawajawai kukosea wakatua hata venus au pluto na sayari zote zipo hewani yaan wanatua hapo hapo walipolenga
Nijulisheni hapo wanazuoni