Niite nije nikufungie bure VODACOM FAIBA.

Niite nije nikufungie bure VODACOM FAIBA.

astalavista

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2014
Posts
254
Reaction score
278
Pata INTANETI yenye kasi nyumbani au ofisini kwako ukiwa na Vodacom Faiba inayotumia teknolojia.

KWANINI FAIBA NI NZURI ZAIDI.
. Faiba haina kikomo cha watu, idadi yoyote inaweza kujiunga na kufurahia intaneti.

. Ni kuanzia elfu 60,000/= kama gharama ya kifurushi kwa mwezi unafungiwa kifaa cha Faiba. Yani hapo dukani kwako mnaweza kuwa watu sita mkawa mnachanga elfu kumi tu kila mwezi na maisha yanaenda poa.

NB: Nafanya kazi na wateja waliopo Dar.

Nipigie, 0795790411
Au tembelea ofisini kwetu Sinza Madukani jengo la Emirates 3rd floor, karibu na Vunja bei.

1000105557.jpg
 
Naomba kujua kun router nilipewa kazini ya voda ila tangu imeisha sijalipia naambiwa inalipiwa 90k sasa siwezi kulipia chini ya hiyo hela
 
Naomba kujua kun router nilipewa kazini ya voda ila tangu imeisha sijalipia naambiwa inalipiwa 90k sasa siwezi kulipia chini ya hiyo hela
Labda ununue line ya Unlimited ambayo utapata kwa 70,000/=. Hivyo utakuwa unalipia elfu 70 kila mwezi bila device.
 
Vodacom sijui kimewapata nini huu mtandao nilikua naupenda sana zamani ila siku hizi naona wamekua km ule mtandao ulikua unajifia wenyewe ukajipachika kwa Tigo wanaitwa nini sijui Zantel, sasa hivi mitandao giant's ni mitatu tu Airtel, Tigo/Yas na Halotel ila Vodacom anashika mkia, Vodacom sijui nini kimewapata yaan Vodacom inashika vizuri maeneo ya mjini mjini tu ukiingia machakani maporini huko kwakheri umeisha.. funiko ni Halotel na Yas na Airtel kwa mbaali ingawa Airtel nao wanazingua inakata network haisomi, nakumbuka kuna eneo nilifika nikiwa natokea Mwanza hakuna mtandao kabisa eneo hilo ni miti tupu porini kabisa chaka vibaya sana gari ikawa imekula pancha nikaanza kuusaka mtandao weka simu juu juu Halotel ikasoma nikapiga simu nikaongea

Ps: Haya ni maoni yangu binafsi sio maoni ya watumiaji wote wa mtandao..
 
Back
Top Bottom