Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,355
- 56,085
Kila chenye mwanzo huwa kina mwisho. Nimebakiza miaka 40 ya kuishi hapa duniani, unanishauri nifanye nini au niishije ishije kwenye hiyo miaka 40 huku nikipata furaha ya nafsi?
ha ha ha inabidi nitafute kiwanja nipate ata chupa mbiliFanya chap upate bia kwanza, ile ya gold
Mlejee Muumba wako, kama una amini katika MunguKila chenye mwanzo huwa kina mwisho. Nimebakiza miaka 40 ya kuishi hapa duniani, unanishauri nifanye nini au niishije ishije kwenye hiyo miaka 40 huku nikipata furaha ya nafsi?
Inabidi upate elimu ya maonoAsee I'm proud of you umejuaje juaje kua umebakiza miaka aroboini nifundishe na mimi mkuu 🤔
Muumba amekataaUna miaka miwili
Bwana asema, hatopunguza siku bali ataongeza siku40 mingi sana umebakisha mika 22 tu ya kuishi