Nihurumieni mwenzenu nakufa

Easy as that?wana jf 25 watoe kila mmoja mil 1 sio?

Unaota boss.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Tecno imefungua ID yenyewe
 
pole sana tena sana, ila mkuu kusema ukweli ka hautudanganyi benk kama benk kuingiza hela kimakosa kwenye akaunt ya mtu mpaka unazitumia zote hawajashtuka hio benk hawako makini na hauna haja ya kuangaika nao,
kingine hapa jf watu wana hamasika kumsaidia mtu aliekwama eidha afya au kimaisha na msaada wake ukihita laki 5 kushuka chini, huyu akitoa elfu 10 huyu 50 mwingine laki zaidi ya hapo kwa kweli sidhani kama hapa jf wanaweza kuhamasika kwa hilo la kwako kwa kweli. labda sana ingekua ni matibabu na hapo bado hela ni nyingi mno.
lakini uziogope maana Neema ya Mungu ni kubwa mnoo USIOGOPE.
 
Acha hadithi za kitoto.
Maelezo yako haya shawishi kukusaidia.
RUDIATENA KUTUNGA HIYO HADITHI
 
Hiyo pesa uliyonayonayo anzisha biashara ya wanzuki na gongo mara moja mpaka mwezi unaisha utakuwa umerejesha laki moja-tano kwa kuwa wewe ni wakike unaweza ukautoa mwili wako kwa muda maalumu wakati huohuo unaofanya biashara ya gongo unakuwa "Multipurpose worker" 😂😂😂
 
Mmmmh chai hii...

Anyway muone Dr shika anaweza kukusaidia billionaire yule
 
Hizo ambazo ulitegemea ziingizwe na zo umeoeleka wapi?si ungelipa bank?aunuliwaona wajinga ukala na hizo nyingine,umekula milioni 50 halafu sisi tukulipie,wafuate wale makahaba ulikokaanao pale BAR YA TABATA.
 
Yaani unawapangia kabisa kila mmoja atoe miliooo... Yaani milioooo kwa mtu tu. Usione hivi, humu kila mtu anashida zake.

Ungesema mtu kama anachochote achangie ungeshangaa mpaka mchana unazaidi ya milioo ya kuwapooza.
 
Swali: Kama hizo 25 ml.ziliingia kimakosa nawewe ukadhani ndo zile ulizokuwa ukizitazamia, je, zile ulizozitazamia mbona hautuletei mrejesho wake?
Ziko wapi, ulitarajia zitoke wapi ?
Jibu kwanza haya maswali ili wengine tuanze kuchambua. Tatizo mjini kila mtu tapeli, pesa kuitoa sasa mpaka ujiridhishe.
 
Mimi sio tapeli jamani ila kila mtu ana maoni yake na ninayaheshimu hii story ni ndefu sijui nianzie wapi na niishie wapi hiyo milioni 25 haikuingizwa yote iliingizwa 12m na mimi nilikua na deni na hiyo bank so wamepiga mahesabu natakiwa kurudisha 25m mimi naipata wapi mwenzenu sina hata pa kuanzia jamani sina mali zozote zaidi ya fridge na godoro langu uwiii mimi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…