Basi sasa ukitaka kuishi kwa amani mtaa huo, inabidi uwe joka la kibisa, ukirudi unajifungia ndaniBado hayajaninyokea aisee
Mmmh...shem una mambo. Ile promotion ya kuongeza dushe ulipata wateja wa vibamia?Tokana na vurugu za mpenzi wangu wa zaman niliamua kuama mtaa.na kupanga asipopajua.nikaanza mahususiano mapya na jirani yangu.cha kushangaza kumbe mother house ni shoga yake na huyu girlfriend wangu was zamani.zaidi ya mara mbili nimemuona anakuja hapa home.kibaya zaidi huyu mother house ana mdogo wake alikua akisoma Dodoma amerudi Jana nae pia nilishaburuza kitambo kidogo kabla ya kuhamia hapa na sikujua kama ni ndugu wa huyu mama.nimekua nikiheshimika sana hapa home na yule kisiran bado hajajua nakaa hapa.ninavomjua akijua shughuli ipo.nashindwa nifanyaje.ushaur please
Ntajaribu chiefHiyo ni vita na namna rahisi ya kuiresolve siyo kukimbia, mfuate kila mmoja kwa muda wake umfungukie juu ya uhalisia wa mambo na dhumuni lako la kuwatema na kubaki na mother house. Mwambie mother house ukweli na nia yako ya kutulia na peke yake maana unapenda n.k
Kama wakiendelea kusumbua, kaa kimya tu, wakichoka wataacha na wasipoacha hama tena na kuanza upya kwingine.
Haina nomer bobCheki jitaidii kuyajengaa na huyoo mama mwenye nyumbaa asijeetoaa siri kule zen jitaidi pia kuwa very attentive kwa kueka ata ma-spy illi ishu isije bumburukaa chamwishoo punguzaa naww ss hao madent wapogo semaa gangaa life kwanzaa engua mjengo songa mbele jembe langu