yuga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 371
- 255
Jaman wana jf anaejua ile movie ya nigeria inayorushwa itv kila jpili usiku kuanzia saa tatu na nusu usiku inaitwaje naombeni anambie. Aniambie na website ya kuipata. Movie yenyewe ipo ivi jamaa alisoma hadi chuo kikuu akaja akakosa kazi hadi kakake wa dam kamnyima kazi akakaa kusota kitaa ila akaja kukutana na dem alowahi kumsaidia wakiwa chuo. huyo dem akamsaidia pia kwenye ajali ya mshikaji na akampenda jamaa ila wazazi wa dem hawampendi jamaa..... Jaman siwez kuendelea naomba anaeijua aniambie tu niitafte mtandaoni jaman