Nigeria yauza ndege 2 za rais

Nigeria yauza ndege 2 za rais

Serikali ya Nigeria imeamua kuuza ndege 2 zilizo kuwa zinatumiwa na rais wa nchi hiyo ili kupunguza matumizi ya serikali.
Naona wamedhamilia
1475768844369.jpg
 
Huyu rais namsifu, kwanza alivyo tangaza baraza lake la mawaziri,,,,wizara ya mafuta alisema yeye ndio waziri wa mafuta pale..na wakati huo huo ndio rais
 
Magufuli effect ipi? Huyu wa Nigeria kaingia madarakani akapunguza mshahara wake kwa 50%, magufuli kuutaja mshahara wake tu anagwaya pamoja na kuahidi kuweka hadharani salary slip yake na mshahara wake wa milioni 400 hata sent moja ya kodi hakatwi. Mafisadi na majizi akina Lugumi, Escrow, IPTL, MV Ufisadi etc anawagwaya hata kuwataja hadharani kabaki kwebda kuwaonea wafanyakazi wadogo.
Kwa hiyo sasa hivi WANIGERIA wanakula kuku kwa mrija baada ya RAIS wao kupunguza mshahara wake?????????HIVI vitoto vya BAVICHA vina matstzo sana............EBU NENDENI DARASANI MKASOME
 
Back
Top Bottom