Nigeria yauza ndege 2 za rais

Nigeria yauza ndege 2 za rais

Magufuli effect ipi? Huyu wa Nigeria kaingia madarakani akapunguza mshahara wake kwa 50%, magufuli kuutaja mshahara wake tu anagwaya pamoja na kuahidi kuweka hadharani salary slip yake na mshahara wake wa milioni 400 hata sent moja ya kodi hakatwi. Mafisadi na majizi akina Lugumi, Escrow, IPTL, MV Ufisadi etc anawagwaya hata kuwataja hadharani kabaki kwebda kuwaonea wafanyakazi wadogo.
Mil 400 . Afu anaseme tuishi kama peponi. Mbona yeye anaishi kama yuko mbinguni sasa
 
Magufuli effect ipi? Huyu wa Nigeria kaingia madarakani akapunguza mshahara wake kwa 50%, magufuli kuutaja mshahara wake tu anagwaya pamoja na kuahidi kuweka hadharani salary slip yake na mshahara wake wa milioni 400 hata sent moja ya kodi hakatwi. Mafisadi na majizi akina Lugumi, Escrow, IPTL, MV Ufisadi etc anawagwaya hata kuwataja hadharani kabaki kwebda kuwaonea wafanyakazi wadogo.
Mkuu una hasira kweli...mungu anawaona
 
Umenikumbusha pesa mbili mramba kwenye ubora wake
MKUU BORA NIGERIA WAMEZIUZA NA DUNIA NZIMA IMEJUA KUWA NIGERIA WAMEUZA NDEGE ZAO ZA RAIS.....
SWALI JE,SISI ILE NDEGE ILIYONUNULIWA YA PREZIDAH IPO AU ILIUZWA KINYEMELA
MAANA NI KIMYAAAA.....TUNAULIZA NA KUTAKA KUJUA TU

OVA
 
Waliupeg mshahara wa mtakatifu kwa US Dollar ni $192,000 per annum hivyo pesa yetu ikianguka na mshahara unazidi kupaa. Tafuta conversion rate ya leo utaona equivalent yake na pesa yetu ya kibongo.
Na hapo bado nasikia huduma zote za mavazi, chakula mpaka tomato source tunamnunulia.
Halafu anakuwa na courage ya kutamka hadharani kuwa maafa yakimkuta mwananchi atajijua na Pesa tulizo wachangia haziwezi kuwaezekea nyumba zao bali zitakarabati Ofisi za umma.
Watu wamekatazwa kupeleka misaada yao moja kwa moja kwa wahanga ila kwa RC ila yeye anachagua mtu wa kumpa na TV zote ziwepo nasi tumshangilie 'mwenye huruma'
 
MKUU BORA NIGERIA WAMEZIUZA NA DUNIA NZIMA IMEJUA KUWA NIGERIA WAMEUZA NDEGE ZAO ZA RAIS.....
SWALI JE,SISI ILE NDEGE ILIYONUNULIWA YA PREZIDAH IPO AU ILIUZWA KINBYEMELA
Mkuu hilo swali labda pasco aje atufafanulie hapa
 
Uchumi wao unawaruhusu
Uchumi wa Nigeria umeporomoka sana kutokana na kushuka kwa bei ya mafuta na gas. Ndo maana wanauza ndege za rais. Ila sikujua kama president wa Nigeria anandege 10 kabla ya kuuza 2
 
MKUU BORA NIGERIA WAMEZIUZA NA DUNIA NZIMA IMEJUA KUWA NIGERIA WAMEUZA NDEGE ZAO ZA RAIS.....
SWALI JE,SISI ILE NDEGE ILIYONUNULIWA YA PREZIDAH IPO AU ILIUZWA KINYEMELA
MAANA NI KIMYAAAA.....TUNAULIZA NA KUTAKA KUJUA TU

OVA
Bora umekumbusha. Pengine imepelekwa makumbusho .
 
Back
Top Bottom