Nigeria yauza ndege 2 za rais

Nigeria yauza ndege 2 za rais

Attachments

  • Screenshot_2016-10-06-06-50-22.png
    Screenshot_2016-10-06-06-50-22.png
    183 KB · Views: 31
Serikali ya Nigeria imeamua kuuza ndege 2 zilizo kuwa zinatumiwa na rais wa nchi hiyo ili kupunguza matumizi ya serikali.
Naona wamedhamilia

Magufuli effect inashika kasi.
 
Bila shaka wengi walishikishwa mshiko mnene ndiyo maana wanamuogopa maana anaweza kuwaanika hadharani wote waliochukua mshiko. Ukishafisadi Serikalini kula na walio jikoni ili wakulinde kwa hali na mali. Si unamuona Ruge Mkuu naye anapeta mtaani kwa raha zake hakuna wa kumgusa maana alitembeza mshiko mnene mpaka ndani ya Ikulu.

We nawe kha! Tangu utafune hela za Fisadi Kuu na kugeuka kuwa mpambe wake hatupumui!
 
We nawe kha! Tangu utafune hela za Fisadi Kuu na kugeuka kuwa mpambe wake hatupumui!
TULIA BOLI...NIGERIA WAMEUZA NDEGE ZAO N'A DUNIA NZIMA WANAFAHAMU....
HIVI ILE NDEGE ILIYONUNULIWA MPAKA SISI TUKALAAA NYASI SANA IKO WAPI IMEUZWA KINYEMELA AU

OVA
 
Magufuli effect ipi? Huyu wa Nigeria kaingia madarakani akapunguza mshahara wake kwa 50%, magufuli kuutaja mshahara wake tu anagwaya pamoja na kuahidi kuweka hadharani salary slip yake na mshahara wake wa milioni 400 hata sent moja ya kodi hakatwi. Mafisadi na majizi akina Lugumi, Escrow, IPTL, MV Ufisadi etc anawagwaya hata kuwataja hadharani kabaki kwebda kuwaonea wafanyakazi wadogo.
Itakua umeguswa na utendaji wake...pole
 
Waliupeg mshahara wa mtakatifu kwa US Dollar ni $192,000 per annum hivyo pesa yetu ikianguka na mshahara unazidi kupaa. Tafuta conversion rate ya leo utaona equivalent yake na pesa yetu ya kibongo.
Mkuu haya mambo ya ushabiki bila evidence ndio yalisababisha mkaumbuka kwa lowasa,mlimsingizia sasa mnajikomba mpate japo mkate
 
TULIA BOLI...NIGERIA WAMEUZA NDEGE ZAO N'A DUNIA NZIMA WANAFAHAMU....
HIVI ILE NDEGE ILIYONUNULIWA MPAKA SISI TUKALAAA NYASI SANA IKO WAPI IMEUZWA KINYEMELA AU

OVA
Hoja ni kubana matumizi
 
Magufuli effect ipi? Huyu wa Nigeria kaingia madarakani akapunguza mshahara wake kwa 50%, magufuli kuutaja mshahara wake tu anagwaya pamoja na kuahidi kuweka hadharani salary slip yake na mshahara wake wa milioni 400 hata sent moja ya kodi hakatwi. Mafisadi na majizi akina Lugumi, Escrow, IPTL, MV Ufisadi etc anawagwaya hata kuwataja hadharani kabaki kwebda kuwaonea wafanyakazi wadogo.
Raisi kama mtumishi namba moja wa serikali alipaswa kukatwa kodi kwa kuwa hadi mtumishi wa kima cha chini kabisa analipa kodi kwa taifa lake,sijui uzalendo wake uko wapi sasa!
 
Magufuli effect ipi? Huyu wa Nigeria kaingia madarakani akapunguza mshahara wake kwa 50%, magufuli kuutaja mshahara wake tu anagwaya pamoja na kuahidi kuweka hadharani salary slip yake na mshahara wake wa milioni 400 hata sent moja ya kodi hakatwi. Mafisadi na majizi akina Lugumi, Escrow, IPTL, MV Ufisadi etc anawagwaya hata kuwataja hadharani kabaki kwebda kuwaonea wafanyakazi wadogo.
Richmond umeisahau Mkuu!
 
Waliupeg mshahara wa mtakatifu kwa US Dollar ni $192,000 per annum hivyo pesa yetu ikianguka na mshahara unazidi kupaa. Tafuta conversion rate ya leo utaona equivalent yake na pesa yetu ya kibongo.
Kumbe wanaishi kama malaika ne wengi😀😀😀😀
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Acha ujinga wa kudhani naandika hapa kwa chuki, naandika hapa na kuweka ushahidi wakati mwingine kutoka mdomoni mwake mwenyewe au kutoka source zenye kuheshimiwa nchini.

Sihitaji kulipwa hata senti moja ili kutetea maslahi ya nchi yetu yanayovurugwa na majizi, waongo na mafisadi. Na wanaoandika ukweli humu kuhusu unafiki wa mtakatifu wako wengi si mimi peke yangu, acha kujitia upofu usiokuwa nao.

Palefu ndiyo kitu gani?

ww jamaa kama unamponda magu kwa mapenz yako bhas utakuwa unamchukia sana maana daily ww ni wa kumpaka na kama unalipwa kufanya hvo nahs bhas utakuwa unalipwa palefu sana maana umekuwa responce unit ya txt yyte itakayo msifu magu.
 
Umeona eeh! Yuko busy kuwataja malaika wengine na kuchukua hatua ili waishi kama mashetani lakini kuhusu yeye kauchuna tu labda anataka awe pekee yake anayeishi kama malaika.

Kumbe wanaishi kama malaika ne wengi😀😀😀😀
 
Hebu naombe mnieleweshe yani anapokea 400million per month au

Mmmmh sasa mbona anataka wengine waishi kama mashetani huku yy aishi kama malaika ha ha
Baba yake Jesca hajatulia kama anazingua hivi au na yy salary slip zake hazijatoka?
 
Back
Top Bottom