Nigeria ni miongoni mwa Nchi zilizokumbwa ghiriba nyingi kisiasa.Ikiwa ni mapinduzi ya mara kwa mara yaliyosababisha kimwagika kwa damu na mangine kwa njia ya Amani.
Katika mapinduzi hayo yalifanikiwa kumuweka madarakani General Sani abacha baaada ya kumpindua general baba ngida (niko tayari kukosolewa kama nimekosea).
Katika utawala wa abacha yeye ndio alikuwa final sayer wakila kitu.Aliliteka bunge na mahakama na zikawa hazina maaamuzi mpaka yeye apigiwe simu.
Baraza la mawaziri yeye ndo alikuwa anamaamuzi ya mwisho na hakutaka kupingwa ulikuwa ukimpinga tuuu yatakayokukuta wewe familia
wengine hawatothubutu.
Bunge ( baraza la seneti) lilifanya maamuzi yake kwa kurusiwa na Raisi. mfano kuuunda baraza la seneti liliunda kamati za kwa kuangalia raisi anataka nini.
Mfano kuonyesha kwamba yeye anamaamuzi aliwahaidi waaandishi wa habari kwamba watanyongwa na kweli mahakama iliwahukumu kunyongwa mpaka kufa.
Ni kweli walinyongwa mpaka kufa ingawa dunia ilipiga kelele wasinyongwe .Nchi ili wekewa vikwazo.Pia alijaza ndugu zake na kabila la benki kuu ya Taifa hivyo kufanya upolaji mkubwa wa rasimali za nchi.
Na ni miongoni mwa marais wakiafrika ambao walijilimbikizia mali nyingi mpaka kabila na ndugu zao waliongoza kwa kuwa na ukwasi usio na kifani. mwaka 1997 uliitishwa uchagu wa kidemokrasi kama wa huku kwetu kati ya abacha na abiola.
Abacha alishindwa na abiola baada ya kuona ameshindwa akamfunga gerezani abiola na kumpulizia sumu ya kumuuwa tarratibu. lakini bahati mbaya yeye ndo alianza kufa kifo dhalili akiwa gesti na mademu wawili wa kihindi huku akimuacha abiola gerezani ambapo baaadae nae alifariki.
General Abdulsalam abukari alishika usukani kuongoza nchi kwa mda na baadae uliitishwa uchaguzi wa kidemkrasia na yeye hakugombea.
MY TAKE:
1.Haya mambo tulikuwa tunayasoma na kuyasikia nchi za watu sasa hivi yametukuta na sisi.Watu kujaza makabila yao kwenye nafasi nyeti za serikali huku baadhi wengine wakiachwa.
UNyanyasaji unaofanywa sasa hivi matunda yake yataonekana baaadae kwanini tusiijenge nchi yetu kwa kushirikisha mawazo yote uwe unayapenda au uyapendi.
Hoja hujibiwa kwa hoja sio risasi kaka bashite hakuna mtu bora zaidi ya muingine.
kwa taarifa ambazo si rasmi bashite anaandaliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani kwa hiyo tujiandae kwa uasi zaidi utakaofanywa dhid ya wapingaji wa baba yake.
Mimi naomba aliyeumba Mbigu na Ardhi waliouwa viongozi wetu kibiti na waliompiga Risasi Tundu lissu Awaadabishe.
Bashite na baba yake waendeshe nchi vizuri sio kwa kukamata na kumiminiana Risasi
Katika mapinduzi hayo yalifanikiwa kumuweka madarakani General Sani abacha baaada ya kumpindua general baba ngida (niko tayari kukosolewa kama nimekosea).
Katika utawala wa abacha yeye ndio alikuwa final sayer wakila kitu.Aliliteka bunge na mahakama na zikawa hazina maaamuzi mpaka yeye apigiwe simu.
Baraza la mawaziri yeye ndo alikuwa anamaamuzi ya mwisho na hakutaka kupingwa ulikuwa ukimpinga tuuu yatakayokukuta wewe familia
wengine hawatothubutu.
Bunge ( baraza la seneti) lilifanya maamuzi yake kwa kurusiwa na Raisi. mfano kuuunda baraza la seneti liliunda kamati za kwa kuangalia raisi anataka nini.
Mfano kuonyesha kwamba yeye anamaamuzi aliwahaidi waaandishi wa habari kwamba watanyongwa na kweli mahakama iliwahukumu kunyongwa mpaka kufa.
Ni kweli walinyongwa mpaka kufa ingawa dunia ilipiga kelele wasinyongwe .Nchi ili wekewa vikwazo.Pia alijaza ndugu zake na kabila la benki kuu ya Taifa hivyo kufanya upolaji mkubwa wa rasimali za nchi.
Na ni miongoni mwa marais wakiafrika ambao walijilimbikizia mali nyingi mpaka kabila na ndugu zao waliongoza kwa kuwa na ukwasi usio na kifani. mwaka 1997 uliitishwa uchagu wa kidemokrasi kama wa huku kwetu kati ya abacha na abiola.
Abacha alishindwa na abiola baada ya kuona ameshindwa akamfunga gerezani abiola na kumpulizia sumu ya kumuuwa tarratibu. lakini bahati mbaya yeye ndo alianza kufa kifo dhalili akiwa gesti na mademu wawili wa kihindi huku akimuacha abiola gerezani ambapo baaadae nae alifariki.
General Abdulsalam abukari alishika usukani kuongoza nchi kwa mda na baadae uliitishwa uchaguzi wa kidemkrasia na yeye hakugombea.
MY TAKE:
1.Haya mambo tulikuwa tunayasoma na kuyasikia nchi za watu sasa hivi yametukuta na sisi.Watu kujaza makabila yao kwenye nafasi nyeti za serikali huku baadhi wengine wakiachwa.
UNyanyasaji unaofanywa sasa hivi matunda yake yataonekana baaadae kwanini tusiijenge nchi yetu kwa kushirikisha mawazo yote uwe unayapenda au uyapendi.
Hoja hujibiwa kwa hoja sio risasi kaka bashite hakuna mtu bora zaidi ya muingine.
kwa taarifa ambazo si rasmi bashite anaandaliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani kwa hiyo tujiandae kwa uasi zaidi utakaofanywa dhid ya wapingaji wa baba yake.
Mimi naomba aliyeumba Mbigu na Ardhi waliouwa viongozi wetu kibiti na waliompiga Risasi Tundu lissu Awaadabishe.
Bashite na baba yake waendeshe nchi vizuri sio kwa kukamata na kumiminiana Risasi