Niger silent crissis

Ngambo Ngali

JF-Expert Member
Apr 17, 2009
3,517
1,359
999999.gif

Britain's aid agencies are launching an appeal to help the people of Niger where half the country's population is going hungry following droughts which have led to crop failures and food shortages.


_48127963_boyonscales,cllinicnearmaradi,southernniger1.jpg


Save the Children says 400,000 children are at risk of dying from starvation









_48129055_severely-malnurished-child.gif







_48125308_8montholdinfantnearmaradisouthernniger2.jpg
 
Njaa hata mchawi inaua!...Hii ndo picha halisi ya Africa, matatizo ya kila rangi!..Mungu saidia watu hawa!
 
''simply because black look like human, act like human, does not necessarily make them sensible human being'' p.w botha! inabidi waafrica tuanze kujiuliza kweli na sisi ni binadam timilifu? simply hata apa JF, mada nyingi na hata tunazozishabikia ni kwa mfano za middle east, mgogoro wa israel na palestine unatugusa kuliko hata matatizo ya bara hili, ii si ukistaajab ya musa jamani...................! tuna matatizo mengi sana bara ili ila wapi, wakati wa vita vya israel na hizbollah, kuna maandamano dar yaliandaliwa kupinga mauaji ya watu wasio na hatia ila sijawai kuna maandamano kuandaliwa kuprotest wattoto na wanawake wanaokufa ktk mapigano kama uko darfur, congo etc na sas watoto wanakufa kwa kukosa chakula lakini hatuandamani! mi cjui labda botha alikua sahihi!
 
''simply because black look like human, act like human, does not necessarily make them sensible human being'' p.w botha! inabidi waafrica tuanze kujiuliza kweli na sisi ni binadam timilifu? simply hata apa JF, mada nyingi na hata tunazozishabikia ni kwa mfano za middle east, mgogoro wa israel na palestine unatugusa kuliko hata matatizo ya bara hili, ii si ukistaajab ya musa jamani...................! tuna matatizo mengi sana bara ili ila wapi, wakati wa vita vya israel na hizbollah, kuna maandamano dar yaliandaliwa kupinga mauaji ya watu wasio na hatia ila sijawai kuna maandamano kuandaliwa kuprotest wattoto na wanawake wanaokufa ktk mapigano kama uko darfur, congo etc na sas watoto wanakufa kwa kukosa chakula lakini hatuandamani! mi cjui labda botha alikua sahihi!

Uzungunisation
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom