kindaboyi
Member
- Apr 5, 2018
- 23
- 23
Watu wengi wanaotoa huduma binafsi za kifedha kama NMB WAKALA, CRDB WAKALA, M PESA, TIGO PESA n.k huwa unakuta TILL namba siyo za majina yao na siyo kwamba wanapenda lahasha!
Pengine ni kutokujua taratibu za kufuata kupata Till ambazo zinaendana na majina yao wanaaumua kutumia shotkat kununua tu za mtaani.
Sasa jamani ambaye ana ufahamu kuhusu utaratibu wa kufuata kupata uwakala au till kwa jina halisi naomba anieleweshe.
Pengine ni kutokujua taratibu za kufuata kupata Till ambazo zinaendana na majina yao wanaaumua kutumia shotkat kununua tu za mtaani.
Sasa jamani ambaye ana ufahamu kuhusu utaratibu wa kufuata kupata uwakala au till kwa jina halisi naomba anieleweshe.