Hello guys..Am a lady aged 28 yrz ni mama wa 3 yrz dota.mkasa wangu ni huu,huyu baba wa mwanangu naish nae na alinioa kwa ndoa ya kimila 2008! Makubaliano yalikuwa ni hv imediately nikigraduate we go to church to convert the marriage..maajabu wenzangu b4 the grad..nkamweleze mbona sion hayo maandalz? The man akaja juu telng me what do i miss therein? Nkamjb no itz not the concesus..in 2010 nkapata k2 from hs cousin kumbe a man alzaa na mama mwngne b4 me and he waz lvng wth her kwa siri..i asked the man akajb ni kwel had fathered a girl 4 yrz b4 mimi kuolewa nae..yap i understood and went ahead with life,last year ilikuwa may i waz in the office writing ma report,mara cm ikaita kuchek a new no..nkapokea..i waz lyk gettin uchz in the moment..nlporomoshewa matc mazto na mdada introducing herself to be a mom of the step-daughter kilchonfanya nitake kupata uchz akanieleza she had a newborn of 6 months yani wawefka wawl..DU NKAFKR KUMBE THE MAN HATAK KUFUNGA NDOA kansan coz ana bibi mwngne..what i did nlikata cm ya yule mama then nkampgia huyu baba nkamuulza kstarab ckusbr nionane nae coz alikuwa safar kikaz..albsha bt nkambana akasema ukwel..tena yule mama alikuwa amempangia nyumba na huwa aksafr sometym kumbe yupo kule..nlimwambia cpo tayar kuendelea kuish ktk maisha hatar km yale nkamwambia ndoa ye2 ni nyepec sana kvnjka needs no tym wala court procedure..jamaa akagoma kaenda hadi kwa wazaz..u guys know how we ladies are esp when u lil' love..nkasema ok tkarud kuendelea na lyf..mwez nov yule mama akaleta vurugu kubwa sana anadai kodi ya nyumba..what i told the man amlpie coz alyataka,bt akakataa hadi tkalumbana..nkanyamaza hadi sasa yule mama yupo kwa wazaz wake..KILICHONIFANYA NIJE HAPA JAMVINI..nataman nianze maisha yangu mwenyewe coz cmuamin tena huyu baba,2. Am flng ly guilty to the fellow lady coz nadhan nlmkta japo huyu baba haknweka wazi nafeel what if ningekuwa mim.3. Nahc huyu baba anampango wa kuwa na mitara smthn i cant hold.4. Love strec kills faster than polium. Naomba msaada wa kimawazo.plz ucn2kane feel ma position.