Nifanyeje niweze kununua gari?

Nifanyeje niweze kununua gari?

Wewe tu humu ndo umekiri huna gari ila si wenzio wote humu
1. Tuna mavuogue
2. Tuna majumba
3. Tunatumia simu kali mno
4. Tuna madigree yetu mzee
Mkuu namimi mwingine pia sina gari"... then nimeishia darasa la 3b
 
Mimi ni mjasiriamali wa kiwango cha chini.Kwa kuwa dunia ya sasa inachukulia gari kama Nyenzo na sio asana.
Naomba mbinu za kuniwezesha na mimi kumiliki gari.
Wenzangu mnaomiliki magari mlifanyaje mpaka mkaweza kumiliki gari?
Karibuni
Una uhitaji wa gari, au kwa kuwa kama unavyosema 'dunia ya sasa inachukulia gari kama nyenzo na sio asana!
 
Humu ndani wakati mwingine mtunkama yupo serious na anachowasgirikisha watu hawezi oata anachohitaji. Maana watu wengi wanajibu utumbo. Majibu ya kumsaidiabmtu Ni kidoho Sana... Tuna poteza maana harisi ya JF.
 
Ewaaaa
Hayo ndio maneno kabisa unipe nimiliki na mm kushika bomba za mwendokasi bye bye jamani
Basi Shunie....lol
Basi ntakupa upendacho....ntakupa umiliki kabisa sio lift tena!
 
Mimi ni mjasiriamali wa kiwango cha chini.Kwa kuwa dunia ya sasa inachukulia gari kama Nyenzo na sio asana.
Naomba mbinu za kuniwezesha na mimi kumiliki gari.
Wenzangu mnaomiliki magari mlifanyaje mpaka mkaweza kumiliki gari?
Karibuni
Ufanyeje ili uweze kununua gari..!!??
Nenda yard. Nenda kwa madalali. Nenda kupatana. Au hata humu kuna nyuzi zakuuza izo mambo.

Baada ya hapo we nunua tuu...
 
Back
Top Bottom