Mmh,vitz hapana...mtoto mzuri kama ww na vitz wapi na wapi...chagua usafiri babe sio gari
Mbona mm Sina gari Wala hivyo vyoote ulivyosema .na najikubaliWewe tu humu ndo umekiri huna gari ila si wenzio wote humu
1. Tuna mavuogue
2. Tuna majumba
3. Tunatumia simu kali mno
4. Tuna madigree yetu mzee
UteleziPrrrrrrrrrr mpaka ulaya.... Malizia hiki kitendawili![]()
Anzia kumiliki baiskeli baada ya mwaka anza kuwa unanunua tairi moja moja la gari baadae polepole utamiliki gariMimi ni mjasiriamali wa kiwango cha chini.Kwa kuwa dunia ya sasa inachukulia gari kama Nyenzo na sio asana.
Naomba mbinu za kuniwezesha na mimi kumiliki gari.
Wenzangu mnaomiliki magari mlifanyaje mpaka mkaweza kumiliki gari?
Karibuni
Kabla ya gari Nyumba unayo??
Kwani yeye kilema?Sasa mpe mbinu naye amiliki japo kibajaji kama changu cha mkopo
Mfyuuuuuu😂😂😂😂Hhahahahah sitakiii nataka kavitz tu babe sijawahi miliki hata guta leo nichague Prado wapi na wapi




Tunaanzia chini kwanza jamani[/QUOTE]Ukubali pia Babu akukague....sio tuu lift....hujui lift peke yake inamchakaza Babu,Babu anatakiwa kuendelea kuwa kijana kwa Kufanya ukaguzi wa kina kwakoBabu naomba lift
Wee bado mgeni humu au hii id ndo mpya?Mbona mm Sina gari Wala hivyo vyoote ulivyosema .na najikubali
Ukubali pia Babu akukague....sio tuu lift....hujui lift peke yake inamchakaza Babu,Babu anatakiwa kuendelea kuwa kijana kwa Kufanya ukaguzi wa kina kwako
Cc @Aspirin
Me staki chinii nataka katikatiQUOTE="Shunie, post: 28547272, member: 381023"]Tunaanzia chini kwanza jamani

oh yeah[/QUOTE]