Nifanyeje niweze kununua gari?

Nifanyeje niweze kununua gari?

Mbona rahisi sana. Ingia kupatana.com kuna gari hadi za milioni 3.
Hongera kwa kumiliki nyumba maana kuna wengi wana magari ila nyumba bado ndoto.
 
Mimi ni mjasiriamali wa kiwango cha chini.Kwa kuwa dunia ya sasa inachukulia gari kama Nyenzo na sio asana.
Naomba mbinu za kuniwezesha na mimi kumiliki gari.
Wenzangu mnaomiliki magari mlifanyaje mpaka mkaweza kumiliki gari?
Karibuni
Jiunge na ccm
 
I'd yako inaonyesha unajitosheleza huko kumkichwa...ASA unashindwa hata jambo rahisi kama hiloo...

nakushauri hivii;sio hadi ununue mgari wako ndio uridhike..

Kodi gari uendeshe mwenyewe ama tafuta kazi ya uderevaaa

no easy shortcuts to success; work hard
 
Mimi ni mjasiriamali wa kiwango cha chini.Kwa kuwa dunia ya sasa inachukulia gari kama Nyenzo na sio asana.
Naomba mbinu za kuniwezesha na mimi kumiliki gari.
Wenzangu mnaomiliki magari mlifanyaje mpaka mkaweza kumiliki gari?
Karibuni
Cheza BIKO
 
Wengine wanamiliki gari kwa ajiri ya kuwasaidia kupata wanawake wazuri,maana ndo nyenzo mbadala kwa madomo zenge.
 
Penye nia tu pana njia. Anza hata na kununua tairi halafu rimu ndiyo usukani. Kidogo kidogo hujaza kibaba. Au kama vipi nenda kwenye screpa mbona utapata?? Pitia sehemu za Masaki, Obay na kule Ohio st. Ukiona gari imepaki mahali hadi majani yameanza kuota chini yake, hilo ni dili. Waweza enda uliza bei ukaambiwa kuwa utapewa hela kuiondoa hapo na kwenda kuitupa.
Swali la kizushi; Wataka kumiliki gari au kadi ya gari iliyoandikwa jina lako??
avha utan mkuu na uzi wa watu
 
Hahahaha
I'd yako inaonyesha unajitosheleza huko kumkichwa...ASA unashindwa hata jambo rahisi kama hiloo...

nakushauri hivii;sio hadi ununue mgari wako ndio uridhike..

Kodi gari uendeshe mwenyewe ama tafuta kazi ya uderevaaa

no easy shortcuts to success; work hard
 
Mimi ni mjasiriamali wa kiwango cha chini.Kwa kuwa dunia ya sasa inachukulia gari kama Nyenzo na sio asana.
Naomba mbinu za kuniwezesha na mimi kumiliki gari.
Wenzangu mnaomiliki magari mlifanyaje mpaka mkaweza kumiliki gari?
Karibuni
Halafu unaajiita Tumaini The Genius?! hebu badili hiyo ID kwanza kisha njoo tena uulize hilo swali.
 
Back
Top Bottom