Nifanyeje niweze kununua gari?

Nifanyeje niweze kununua gari?

The Genius

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2018
Posts
828
Reaction score
2,108
Mimi ni mjasiriamali wa kiwango cha chini.Kwa kuwa dunia ya sasa inachukulia gari kama Nyenzo na sio asana.
Naomba mbinu za kuniwezesha na mimi kumiliki gari.
Wenzangu mnaomiliki magari mlifanyaje mpaka mkaweza kumiliki gari?
Karibuni
 
Mimi ni mjasiriamali wa kiwango cha chini.Kwa kuwa dunia ya sasa inachukulia gari kama Nyenzo na sio asana.
Naomba mbinu za kuniwezesha na mimi kumiliki gari.
Wenzangu mnaomiliki magari mlifanyaje mpaka mkaweza kumiliki gari?
Karibuni
 
Mimi ni mjasiriamali wa kiwango cha chini.Kwa kuwa dunia ya sasa inachukulia gari kama Nyenzo na sio asana.
Naomba mbinu za kuniwezesha na mimi kumiliki gari.
Wenzangu mnaomiliki magari mlifanyaje mpaka mkaweza kumiliki gari?
Karibuni
 
Penye nia tu pana njia. Anza hata na kununua tairi halafu rimu ndiyo usukani. Kidogo kidogo hujaza kibaba. Au kama vipi nenda kwenye screpa mbona utapata?? Pitia sehemu za Masaki, Obay na kule Ohio st. Ukiona gari imepaki mahali hadi majani yameanza kuota chini yake, hilo ni dili. Waweza enda uliza bei ukaambiwa kuwa utapewa hela kuiondoa hapo na kwenda kuitupa.
Swali la kizushi; Wataka kumiliki gari au kadi ya gari iliyoandikwa jina lako??
 
Chukua ela ulizonazo kanunue gari kama azitoshi uza biashara yako yote kama azitoshi pia nenda bank kakope.
Lengo lako litakua limekamilika.
 
Swali juu ya swali..utamiliki vipi gari bila kuwa kadi
Au hujui maana ya kumiliki
Penye nia tu pana njia. Anza hata na kununua tairi halafu rimu ndiyo usukani. Kidogo kidogo hujaza kibaba. Au kama vipi nenda kwenye screpa mbona utapata?? Pitia sehemu za Masaki, Obay na kule Ohio st. Ukiona gari imepaki mahali hadi majani yameanza kuota chini yake, hilo ni dili. Waweza enda uliza bei ukaambiwa kuwa utapewa hela kuiondoa hapo na kwenda kuitupa.
Swali la kizushi; Wataka kumiliki gari au kadi ya gari iliyoandikwa jina lako??
 
Back
Top Bottom