Jenseny
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 1,743
- 1,742
Duh! Na mmeo bila shaka atakuwa keshajuaNyie watu mmezidi umbea yan mada hiii imenikuta kwenye magruop ya whatsap uko?
Solution..tena uwe sexy na wenye matamanio kweli kweli ugomvi utaisha tu. Na mpe vyote..i mean vyote..😎🤗Omba mechi ya kirafiki ugenini,
Hatujawahi kataaa...
Mkewangu alimikemea san kisa tu nimetoka kuangalia mpira jioni na nilimuaga akaninunia kabisa , baasi bwana mtu hasemi na mimi nikaondoka nikaenda bar kumeza bia muda wa saa tisa naingia hom nakuta mtu yupo macho anatweta tu kwa hasira na wala hanisemeshi nilokaa kimya siku 3 tu akatishia kunywa sumu yeye na watoto baasi nika mwambia dada kalete sumu ya panya ya elfu kumi akaleta nikakoroga na maji nusu ndoo nika mwambia dada kamwambie mzigo upo tayati annywe na awaweshe watoto,wakati huo nipo nje ma simu nazuga naongea na mchepuko asee hakunya wal nini na alikuja kupiga magoti nakuomba msamha ,mpaka wa leo u sister du umemuisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaa umetoa siri ya kambiMwanamke haombi msamaha.
We jifanye unaumwa hoi. Mgongee chumbani kwake mwambie unaumwa akupeleke hospitali. Fanya drama hapo urudi chumbani kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu mzima aloamua kuolewa unafikiri yakimfika atatafuta wananzengo kumuonesha mlango wa kutokea??? Atatoka tu mwenyewe ata kupitia juu ya paaBasi abaki huko huko chumba alichohamia.
Yeye ndie anaetamani kurudi chumba cha awali, hapa anapewa mbinu za kurudi.
Angetaka pia kusepa mazima, wananzengo wangempa namna
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama ana kosa, ukijishusha utapungukiwa nini? Self EGO?Chibudee,
Bt yeye ndie mwenye kosa ujue
Huyo jamaa ata demu hana, afu we unamuuliza habari za ndoa!!!!!!Bro, una miaka mingapi kwenye ndoa???
Hivi vimisemo ndio mnapewa na wamagharibi sio??
Try me!!!!!!!
Kusamehe ni kwa faida yako ona sasa wewe unateseka Licha ya kwamba wewe ndo umekosewa yeye anakula maisha, rudi tu maana ni kwako husubiri ruhusa ya mtu ila jifunze kusamehe hata kama haujaombwa msamahaNina kama wiki hivi tulitofautiana kidogo na mume wangu. Tuligombana sana ila sio ngumi in short alinikwaza.
Sasa kwa hasira nikahamia kulala chumba cha wageni nikidhani baada ya muda atakuja kunibembeleza na kuniomba msamaha yaishe nirudi chumbani.
Du! Sasa wiki imekatika jamaa hata muda hana natamani kurudi chumbani lakini naanzaje maana niliamisha baadhi ya nguo na pochi zangu na vipodozi vyangu aisee jamaa hana time yaani tena, akiingia chumbani anafunga na funguo.
Mimi hasira zimeisha naona aibu kurudi.
Nipeni mbinu jamani nifanyeje aanze yeye kunibembeleza?
Acha kumpoteza mwenzio. Kwani atapungukiwa nini?! Ataingia mkenge bure. Ushauri mbaya sana huu..😦😡😠Mtu mzima aloamua kuolewa unafikiri yakimfika atatafuta wananzengo kumuonesha mlango wa kutokea??? Atatoka tu mwenyewe ata kupitia juu ya paa
KyaaahJishushe Tu Rudi Lkn Hapo Ndipo Utaona Maana Ya Neno Hasira Hasara Mnatikisa Kiberiti Kikiwaka Mnakimbia
Bahati Mbaya wote Mnakiburi Hakuna Alie Utayari Kujishusha Kwamwenzie Pia Yaonekana Kama Mapenzi Yenu Yamradi Siku Ziende 7babu Mwanaume Hamnunii Mkewe.
Wewe Rejea Kisha Kuwa Muungwana Jaribu kumueleza Hasira Zangu Zimekwisha Naomba Tuzungumze Na Tutengeneze Amani Maisha Yaendelee
January mama Hii Maisha Yatupige Nanyie Mtusumbue!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo kariDu!! hapa hata usingizi haupiti yeye nasikia anakula mziki tu hana wasiwasi
Hapa nasikilza wimbo mmja hivi was bahati bukukuDu!! hapa hata usingizi haupiti yeye nasikia anakula mziki tu hana wasiwasi






Hahahaaa alikomaMkewangu alimikemea san kisa tu nimetoka kuangalia mpira jioni na nilimuaga akaninunia kabisa , baasi bwana mtu hasemi na mimi nikaondoka nikaenda bar kumeza bia muda wa saa tisa naingia hom nakuta mtu yupo macho anatweta tu kwa hasira na wala hanisemeshi nilokaa kimya siku 3 tu akatishia kunywa sumu yeye na watoto baasi nika mwambia dada kalete sumu ya panya ya elfu kumi akaleta nikakoroga na maji nusu ndoo nika mwambia dada kamwambie mzigo upo tayati annywe na awaweshe watoto,wakati huo nipo nje ma simu nazuga naongea na mchepuko asee hakunya wal nini na alikuja kupiga magoti nakuomba msamha ,mpaka wa leo u sister du umemuisha
Sent using Jamii Forums mobile app


Hahahaaa alikomaMkewangu alimikemea san kisa tu nimetoka kuangalia mpira jioni na nilimuaga akaninunia kabisa , baasi bwana mtu hasemi na mimi nikaondoka nikaenda bar kumeza bia muda wa saa tisa naingia hom nakuta mtu yupo macho anatweta tu kwa hasira na wala hanisemeshi nilokaa kimya siku 3 tu akatishia kunywa sumu yeye na watoto baasi nika mwambia dada kalete sumu ya panya ya elfu kumi akaleta nikakoroga na maji nusu ndoo nika mwambia dada kamwambie mzigo upo tayati annywe na awaweshe watoto,wakati huo nipo nje ma simu nazuga naongea na mchepuko asee hakunya wal nini na alikuja kupiga magoti nakuomba msamha ,mpaka wa leo u sister du umemuisha
Sent using Jamii Forums mobile app


Kuna mahali nimempa ushauri au nimejisemea kwa hali halisi mtu yakimshinda hakunaga ushauri anatoka tu mwenyeweAcha kumpoteza mwenzio. Kwani atapungukiwa nini?! Ataingia mkenge bure. Ushauri mbaya sana huu..😦😡😠