Nifanyeje nirudi chumbani kwangu?

Nifanyeje nirudi chumbani kwangu?

Wanawake hawaeleweki. Babu aliwahi kunieleza kuwa siku ukiona umemwelewa mke wako,kifo chako kimekaribia.
 
Mim nlidhan yy ndo kakubebea vitu kupeleka chumba cha wagen,kumbe ulipeleka mwenyew?virudishe kama ulivyopeleka over
 
Nyie watu mmezidi umbea yan mada hiii imenikuta kwenye magruop ya whatsap uko?
Duh! Na mmeo bila shaka atakuwa keshajua
Jf tuache huu upuuzi wa kupeleka mada za watu au kusambaza sehemu nyingine
Ya huku yaishie huku hasa kama ni private issue
 
Mkewangu alimikemea san kisa tu nimetoka kuangalia mpira jioni na nilimuaga akaninunia kabisa , baasi bwana mtu hasemi na mimi nikaondoka nikaenda bar kumeza bia muda wa saa tisa naingia hom nakuta mtu yupo macho anatweta tu kwa hasira na wala hanisemeshi nilokaa kimya siku 3 tu akatishia kunywa sumu yeye na watoto baasi nika mwambia dada kalete sumu ya panya ya elfu kumi akaleta nikakoroga na maji nusu ndoo nika mwambia dada kamwambie mzigo upo tayati annywe na awaweshe watoto,wakati huo nipo nje ma simu nazuga naongea na mchepuko asee hakunya wal nini na alikuja kupiga magoti nakuomba msamha ,mpaka wa leo u sister du umemuisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyu jamaa alifanya kitendo cha hatari sana. Angepoteza mke na watoto. Hizi tabia sio za kuencourage kabisa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi abaki huko huko chumba alichohamia.

Yeye ndie anaetamani kurudi chumba cha awali, hapa anapewa mbinu za kurudi.

Angetaka pia kusepa mazima, wananzengo wangempa namna

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu mzima aloamua kuolewa unafikiri yakimfika atatafuta wananzengo kumuonesha mlango wa kutokea??? Atatoka tu mwenyewe ata kupitia juu ya paa
 
Nina kama wiki hivi tulitofautiana kidogo na mume wangu. Tuligombana sana ila sio ngumi in short alinikwaza.

Sasa kwa hasira nikahamia kulala chumba cha wageni nikidhani baada ya muda atakuja kunibembeleza na kuniomba msamaha yaishe nirudi chumbani.

Du! Sasa wiki imekatika jamaa hata muda hana natamani kurudi chumbani lakini naanzaje maana niliamisha baadhi ya nguo na pochi zangu na vipodozi vyangu aisee jamaa hana time yaani tena, akiingia chumbani anafunga na funguo.

Mimi hasira zimeisha naona aibu kurudi.

Nipeni mbinu jamani nifanyeje aanze yeye kunibembeleza?
Kusamehe ni kwa faida yako ona sasa wewe unateseka Licha ya kwamba wewe ndo umekosewa yeye anakula maisha, rudi tu maana ni kwako husubiri ruhusa ya mtu ila jifunze kusamehe hata kama haujaombwa msamaha
 
Mtu mzima aloamua kuolewa unafikiri yakimfika atatafuta wananzengo kumuonesha mlango wa kutokea??? Atatoka tu mwenyewe ata kupitia juu ya paa
Acha kumpoteza mwenzio. Kwani atapungukiwa nini?! Ataingia mkenge bure. Ushauri mbaya sana huu..😦😡😠
 
Jishushe Tu Rudi Lkn Hapo Ndipo Utaona Maana Ya Neno Hasira Hasara Mnatikisa Kiberiti Kikiwaka Mnakimbia

Bahati Mbaya wote Mnakiburi Hakuna Alie Utayari Kujishusha Kwamwenzie Pia Yaonekana Kama Mapenzi Yenu Yamradi Siku Ziende 7babu Mwanaume Hamnunii Mkewe.

Wewe Rejea Kisha Kuwa Muungwana Jaribu kumueleza Hasira Zangu Zimekwisha Naomba Tuzungumze Na Tutengeneze Amani Maisha Yaendelee

January mama Hii Maisha Yatupige Nanyie Mtusumbue!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kyaaah

kelphin kepph
 
Du!! hapa hata usingizi haupiti yeye nasikia anakula mziki tu hana wasiwasi
Hapa nasikilza wimbo mmja hivi was bahati bukuku

Wanandoa wakikaa miaka mingiiiii hi,.
Wanaanza kufanana sura zao,
Kama si kwa sura hufanana kwa tabiaa ah,
Hiyo yote Ni agano lako mungu

kelphin kepph
 
Mkewangu alimikemea san kisa tu nimetoka kuangalia mpira jioni na nilimuaga akaninunia kabisa , baasi bwana mtu hasemi na mimi nikaondoka nikaenda bar kumeza bia muda wa saa tisa naingia hom nakuta mtu yupo macho anatweta tu kwa hasira na wala hanisemeshi nilokaa kimya siku 3 tu akatishia kunywa sumu yeye na watoto baasi nika mwambia dada kalete sumu ya panya ya elfu kumi akaleta nikakoroga na maji nusu ndoo nika mwambia dada kamwambie mzigo upo tayati annywe na awaweshe watoto,wakati huo nipo nje ma simu nazuga naongea na mchepuko asee hakunya wal nini na alikuja kupiga magoti nakuomba msamha ,mpaka wa leo u sister du umemuisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa alikoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkewangu alimikemea san kisa tu nimetoka kuangalia mpira jioni na nilimuaga akaninunia kabisa , baasi bwana mtu hasemi na mimi nikaondoka nikaenda bar kumeza bia muda wa saa tisa naingia hom nakuta mtu yupo macho anatweta tu kwa hasira na wala hanisemeshi nilokaa kimya siku 3 tu akatishia kunywa sumu yeye na watoto baasi nika mwambia dada kalete sumu ya panya ya elfu kumi akaleta nikakoroga na maji nusu ndoo nika mwambia dada kamwambie mzigo upo tayati annywe na awaweshe watoto,wakati huo nipo nje ma simu nazuga naongea na mchepuko asee hakunya wal nini na alikuja kupiga magoti nakuomba msamha ,mpaka wa leo u sister du umemuisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa alikoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kumpoteza mwenzio. Kwani atapungukiwa nini?! Ataingia mkenge bure. Ushauri mbaya sana huu..😦😡😠
Kuna mahali nimempa ushauri au nimejisemea kwa hali halisi mtu yakimshinda hakunaga ushauri anatoka tu mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom