Mkuu Dena Amsi,ngoja nijitathmini,maana najisikia mpweke with dark future!!
Ngoja nitulie,lazima kuna tatizo mahala.
Mkuu Lateni,siamini kama jambo rahisi hivi laweza kumpa mtu stress kiasi cha kutamani kujidhuru.
Lazima kuna jambo zito anapambana nalo maishani huyu.
Dah,pole sana ndugu.
Nimekusoma threads unazoleta hapa jamvini nikajua kuna kitu hakipo sawa.
Mkumbuke sana Mungu na kujenga uhusiano naye,stress zitakwisha!
Pia usisahau kufanya mazoezi na kujumuika na wenzio.
Pole sana aisee!
Jifunze ku-accept watever situation you are having right now.. Usipende kujitenga maana itachangia wewe kufanya maamuz mabaya...
Unaweza ukamtumia mtu wako wa karibu kuzungumza nae,kuzungumza nako kunasaidia kupunguza stress.