unataka kuniambia kuwa punyeto ameianza immediately baada ya mpenzi wake kuondoka kwake???
Haka katabia ka kusugua kichwa chwa uume ni kabaya! halafu huwa hakaanzi tu from nowhere..
There must be a starting point....
Rutorial k, umeanza lini kujisugua/kujichua??
Usikae karibu na sabuni
mi napika baadae
pole sana tafuta mpenzi alieko karibu uwe unakua nae mara kwa mara
kwa mfano weekend na pia usipate muda wa kua pekee yako angalia movie and the like
tembelea marafiki,pendelea kupika kitu ambacho hupenda zaid kwa kutumia program za kujifunza kupika fanya kitu ambacho unakipendelea
usiruhusu kukaa peke yako hata kama ni chooni
Niungane na wewe katika hoja zako,ila pia anatakiwa asiwe anaangalia move zenye maudhui ya mapenzi au hisia za kimapenzi,maana atakuwa anavuta picha afu anaende kufunga magoli ya mkono...pole sana tafuta mpenzi alieko karibu uwe unakua nae mara kwa mara
kwa mfano weekend na pia usipate muda wa kua pekee yako angalia movie and the like
tembelea marafiki,pendelea kupika kitu ambacho hupenda zaid kwa kutumia program za kujifunza kupika fanya kitu ambacho unakipendelea
I am interested here, lol..
leo nimepiga pasi ndefu kishenz mwanagu... fanya mambo nipate mlo kamili!
welcome me!
Mwambie Akutafte Hata Wewe Uweze Kumsaidia
Niungane na wewe katika hoja zako,ila pia anatakiwa asiwe anaangalia move zenye maudhui ya mapenzi au hisia za kimapenzi,maana atakuwa anavuta picha afu anaende kufunga magoli ya mkono...
njoo na wine
umepika nini kwanza sweet love?