Nifanyeje niache Punyeto?

Nifanyeje niache Punyeto?

Rutorial k

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2014
Posts
1,058
Reaction score
1,037
Wadau wajukwaa hili niko mbele yenu kuomba ushauri ni jinsi gani naweza kuachana na punyeto.

Nilianza mchezo huu nikiwa na na miaka 22 mpaka sasa ni mwaka wasaba na mpaka sasa nimeshindwa kuachana nao.

Kibaya zaidi punyeto imepunguza sana nguvu zangu za kiume, kwani kuna siku nilikutana na mchumba wangu ambae yuko mbali na mimi nikashindwa kabisa kufanya mapenzi kwani usiku kucha nilienda mara moja tu.

Ushauri wako ni muhimu.
 
pole sana tafuta mpenzi alieko karibu uwe unakua nae mara kwa mara
kwa mfano weekend na pia usipate muda wa kua pekee yako angalia movie and the like

tembelea marafiki,pendelea kupika kitu ambacho hupenda zaid kwa kutumia program za kujifunza kupika fanya kitu ambacho unakipendelea
 
No comment,coz masai dada kamaliza kila kitu cha msingi nyingine ni additional..
 
A cha kupiga fanya mazoezi kila siku!
 
pole sana tafuta mpenzi alieko karibu uwe unakua nae mara kwa mara
kwa mfano weekend na pia usipate muda wa kua pekee yako angalia movie and the like

tembelea marafiki,pendelea kupika kitu ambacho hupenda zaid kwa kutumia program za kujifunza kupika fanya kitu ambacho unakipendelea

All these just for punyeto?

mi najua ukijiweka busy tu, jioni mazoezi mengi mengi, hapo ukiingia bafuni, wazo la nyeto litakuwa linapungua day after day!!!

Kijana acha kuangalia picha za ngono...............

Story za mapenzi mapenzi ziache kuanzia leo..........

kampani za ajabu ajabu zenye element za kugegedana, kwepa kabisa!

Acha kusikiliza nyimbo za mapenzi mapenzi wakati hauna mpenzi (@shy land alishasema huku ni kujiumiza)

Kuwa mtu wa kazi, panga ratiba za mishe zako kila wakati, punguza muda wa kuwa idle....

Pole kwa nyeto! kuacha si rahisi kama unavyofikiria, its a step by step assignment.
 
Jisogeze karibu na Mungu, utaishinda tu hiyo hali!!

Inabidi dhamira yakweli ya kutaka kuacha hilo jambo toka moyoni iwepo.
 
All these just for punyeto?

mi najua ukijiweka busy tu, jioni mazoezi mengi mengi, hapo ukiingia bafuni, wazo la nyeto litakuwa linapungua day after day!!!

Kijana acha kuangalia picha za ngono...............

Story za mapenzi mapenzi ziache kuanzia leo..........

kampani za ajabu ajabu zenye element za kugegedana, kwepa kabisa!

Acha kusikiliza nyimbo za mapenzi mapenzi wakati hauna mpenzi (@shy land alishasema huku ni kujiumiza)

Kuwa mtu wa kazi, panga ratiba za mishe zako kila wakati, punguza muda wa kuwa idle....

Pole kwa nyeto! kuacha si rahisi kama unavyofikiria, its a step by step assignment.

AMESEMA ANA MPENZI ALIEKO MBALI

kwanini unamshauri usisikilize nyimbo za mapenzi wakati huna mpenzi
NAPINGA HILI jaamaa anae sema yuko mbali ila mimi nimemshauri atafute mpenzi alieko karibu
UNASEMA ASIWAZE MAPENZI(MAPENZI MATAMU BWANA NA HATA KUGEGEDANA UKIMPATA MTU MKAPENDANA)

Mimi sio muumini wa long distance relations kwa hiyo namshauri jamaa apate mpenzi akisikia hamu tu anaenda kwake au anamuita from time to time hamu yote itaisha ya kutumia mkono

SIKUSHAURI UMUACHE MPWNZI WAKO hili pima mwenyewe
 
Jisogeze karibu na Mungu, utaishinda tu hiyo hali!!

Inabidi dhamira yakweli ya kutaka kuacha hilo jambo toka moyoni iwepo.

YESU Amesema kwenye bible
KAMA MKISHINDWA KUA KAMA MIMI BASI MTAFUTE WENZA
atafute mpenzi wa kumkip busy
 
Wadau wajukwaa hili niko mbele yenu kuomba ushauri nijinsi gani naweza kuachana na punyeto.nilianza mchezo huu nikiwana namiaka 22 mpaka sasa Ni mwaka wa7 na mpaka sasa nimeshindwa kuachana nao.kibaya zaidi punyeto imepunguza sana nguvuzangu za kiume,kwani kuna siku nilikutana na mchumba wangu ambae yuko mbali namimi nikashindwa kabisa kufanya mapenzi kwani usiku mucha nilienda Mara moja2.ushauri wako ni muhimu.

Mimi nakushauri uoe inaonekana wewe ni muoga kutongoza hata kutoka njee sasa wewe piga mahesabu mchumba wako yupo mbali wewe kidumu hauna yaani ni lazima ugonge sabuni tuu suluhisho hapo wewe oa kaka!!!
 
kwa hiyo mkuu ukiona sabuni unadinda ??
 
AMESEMA ANA MPENZI ALIEKO MBALI

kwanini unamshauri usisikilize nyimbo za mapenzi wakati huna mpenzi
NAPINGA HILI jaamaa anae sema yuko mbali ila mimi nimemshauri atafute mpenzi alieko karibu
UNASEMA ASIWAZE MAPENZI(MAPENZI MATAMU BWANA NA HATA KUGEGEDANA UKIMPATA MTU MKAPENDANA)

Mimi sio muumini wa long distance relations kwa hiyo namshauri jamaa apate mpenzi akisikia hamu tu anaenda kwake au anamuita from time to time hamu yote itaisha ya kutumia mkono

SIKUSHAURI UMUACHE MPWNZI WAKO hili pima mwenyewe

unataka kuniambia kuwa punyeto ameianza immediately baada ya mpenzi wake kuondoka kwake???

Haka katabia ka kusugua kichwa chwa uume ni kabaya! halafu huwa hakaanzi tu from nowhere..

There must be a starting point....
Rutorial k, umeanza lini kujisugua/kujichua??
 
Last edited by a moderator:
Wadau wajukwaa hili niko mbele yenu kuomba ushauri nijinsi gani naweza kuachana na punyeto.nilianza mchezo huu nikiwana namiaka 22 mpaka sasa Ni mwaka wa7 na mpaka sasa nimeshindwa kuachana nao.kibaya zaidi punyeto imepunguza sana nguvuzangu za kiume,kwani kuna siku nilikutana na mchumba wangu ambae yuko mbali namimi nikashindwa kabisa kufanya mapenzi kwani usiku mucha nilienda Mara moja2.ushauri wako ni muhimu.

Dawa ni rahisi sana tafuta mwanaume umkalie utaacha kupiga punyeto
 
Back
Top Bottom