Amemaanisha bone marrow😊Leo tutawajua wa kukurupuka!
Sahihi, Afya ya mwili, Chakula bora, na mazoezi ndio tibaAngalia mwili pia kama una mazoezi ya kutosha
Kula makongoro na bamia kwa wingi.Wakuu kwema? Nahitaji kuwa na uboho wakutosha ili tatizo la mifupa kusagana lisinipate kadiri umri unavyo kwenda, naombeni ushauri, ni vyakula gani nikila vitasaidia kuongeza uboho? Ahsanteni.
mimi pia nilijua ni kiba100almanusra pale....
Leo tutawajua wa kukurupuka
Tafuta pesa Mzee, Achana na ishu hizo zitakupotezea muda na pesa pia.Wakuu kwema? Nahitaji kuwa na uboho wakutosha ili tatizo la mifupa kusagana lisinipate kadiri umri unavyo kwenda, naombeni ushauri, ni vyakula gani nikila vitasaidia kuongeza uboho? Ahsanteni.
uboho = Uroto = Bone MarrowTafuta pesa Mzee, Achana na ishu hizo zitakupotezea muda na pesa pia.
Sasa unatutisha! Hatuogopi mtu hapa.
pesa huwa zinatafutwa? Au ni msemo tu, wapi pesa zinatafutiwa na kupatikana? Pesa hazitafutwi, zipo kwenye maono ya mtu kugundua fursa za kuzimilikiTafuta pesa Mzee, Achana na ishu hizo zitakupotezea muda na pesa pia.
Kati ya waliokurupuka ni wewe, hili tatizo likikupata hata muda wa kutafuta hela hutaupata. Ni tatizo ambazo unaweza kuwa umesimama magoti yakakosa nguvu ukaanguka hapo hapo na hata ukipelekwa hospitali unapewa diclofenac tu na dawa za kulainisha.Tafuta pesa Mzee, Achana na ishu hizo zitakupotezea muda na pesa pia.