Bongo senior
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 291
- 480
Habari za muda huu
Mimi ni kijana mwenye umri wa 30+ ni baba wa watoto wawili kila mmoja na mama yake. Kutokana na hali halisi ilivyo kwenye mahusiano watu hawana hofu kabisa kwenye kuumizana mioyo kiasi kibaya sana, ila kwangu ni tofauti sana ni muoga sana kumuumiza mtu hata nikifanya uwa najiona na hatia sana kinachonijia kichwani ni kuamini yatanirudia mimi na dunia yenyewe haina huruma hata chembe kitu kilichonifanya mpaka sasa kila mwanamke ninaemtongoza uwa naenda straight kumwambia nimemtamani tu kwa one night ili hata akija nikuta na mwingine hasije leta zogo wala kuhisi kutendwa namimi mwenyewe kuwa huru zaidi.
My point je hili la hofu naliepuka vipi je nachokiamini kina ukweli au mana watu wanaumizana mioyo kama wanagarantee ya kesho yao.
Mimi ni kijana mwenye umri wa 30+ ni baba wa watoto wawili kila mmoja na mama yake. Kutokana na hali halisi ilivyo kwenye mahusiano watu hawana hofu kabisa kwenye kuumizana mioyo kiasi kibaya sana, ila kwangu ni tofauti sana ni muoga sana kumuumiza mtu hata nikifanya uwa najiona na hatia sana kinachonijia kichwani ni kuamini yatanirudia mimi na dunia yenyewe haina huruma hata chembe kitu kilichonifanya mpaka sasa kila mwanamke ninaemtongoza uwa naenda straight kumwambia nimemtamani tu kwa one night ili hata akija nikuta na mwingine hasije leta zogo wala kuhisi kutendwa namimi mwenyewe kuwa huru zaidi.
My point je hili la hofu naliepuka vipi je nachokiamini kina ukweli au mana watu wanaumizana mioyo kama wanagarantee ya kesho yao.