The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
kumbe huyu ndo kakuwekea bango?
Ngoja mwenye aje aone hili bandiko wataka Jumatatu yangu iwe :A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1:
kumbe huyu ndo kakuwekea bango?
ah ah ah ulikuwa kwenye garage ya mchina
usiseme hivyo bwana,,,,
Ngoja mwenye aje aone hili bandiko wataka Jumatatu yangu iwe :A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1:
Ngoja mwenye aje aone hili bandiko wataka Jumatatu yangu iwe :A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1::A S-fire1:
ukiwa bondia usiogope ngumi za uso
anhaaa kuuuumbee
Husninyo Ndio kwanza Namtafuta, nitajuaje kama amemaliza mambo yaka yote
Maliza mambo yako yooote, na huyo mwenzio mwambie amalize mambo yake yooote halafu ndio muoane.
mamabo mengine huwa hayaishi Husninyo,
yanaenda yakiongezeka kila kukicha!!!!!
Lazima uhakikishe umeamua kuoa. Maana kuoa ni maamuzi makubwa sana. Jiandae kifikra kabla hujafikia uamuzi huo. Tena wewe unayesema bado unatafuta, bado kabisa uko mbali. Mtafute huyo unayedhani anakufaa, kaa naye miaka 2, 3, 4 ukimtarajia kuwa ndiye mke wako mtarajiwa. Hapo utajipa nafasi wewe kuamua vizuri na yeye pia, maana siyo wewe mvulana unahitaji kuamua vizuri, na msichana naye pia anhitaji kuamua vizuri kuona kama unamfaa na yeye anakufaa. Take time no hurry in marriage!!
mamabo mengine huwa hayaishi Husninyo,
yanaenda yakiongezeka kila kukicha!!!!!
Lazima uhakikishe umeamua kuoa. Maana kuoa ni maamuzi makubwa sana. Jiandae kifikra kabla hujafikia uamuzi huo. Tena wewe unayesema bado unatafuta, bado kabisa uko mbali. Mtafute huyo unayedhani anakufaa, kaa naye miaka 2, 3, 4 ukimtarajia kuwa ndiye mke wako mtarajiwa. Hapo utajipa nafasi wewe kuamua vizuri na yeye pia, maana siyo wewe mvulana unahitaji kuamua vizuri, na msichana naye pia anhitaji kuamua vizuri kuona kama unamfaa na yeye anakufaa. Take time no hurry in marriage!!
are u toking frm Exp au u just tok for the sake of toking?
kwanini wewe una mke!?usioe