King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,779
Inapaswa kufanywa kama cross cutting subject/unit. Kwa specific professions kunakuwa na specific courses.
Kwa vyuoni, ni sehemu ya mtaala wa VETA, public health, epidemiology na environmental health. Nje ya tz, S.Africa na US, UK kuna digrii ya OHS ama Industrial Hygiene.
Kwa walio kazini kuna courses zinakuwa offered, usually tailor made.
Kwa vyuoni, ni sehemu ya mtaala wa VETA, public health, epidemiology na environmental health. Nje ya tz, S.Africa na US, UK kuna digrii ya OHS ama Industrial Hygiene.
Kwa walio kazini kuna courses zinakuwa offered, usually tailor made.
Mkuu umenigusa hapo kwenye "occupation health and safety" naomba kuuliza hiyo ni course unasoma au? na kama unasoma je ni vyuo gani hapa nchini wanatoa hiyo course au nje ya nchi. Tafadhali naomba unijulishe.