Kaka kwanz pole sana pili hapo kuna mawili huenda kikwazo kipo kwako au kwake kwahy tuliza presha mm nakumbuka mwanamke wangu alikuw anatatizo la hormonie imbalanc ndan ya miez 7 napiga bila majib nilivyojua hilo tatizo nikaenda kweny clinic ya mitishamba boks lake bei simple san nilinunua elf 25,000 ila kwa dokta mwaka usije thubutu kwenda yule ni mpigaji kwahy nichek pm nikuelekeze huendw mkamuone huyo dokta tena ni bure kumuona acha na dokta mwaka nilienda unaambiwa kumuona dokta 20,000,checkup 30,000 mpk hapo 50 imekatika bado dawa nusu dozi 100,000 saiv mke wangu Alhamdulillah tulibahatika kupata mtoto wa kiume saiv anamiez miwil na tatizo lake limeisha
Nb;BILA KUSAHAU IBADA NA KUMUOMBA SAN ALLAH ABARIKI