Nifanyeje ili mke wangu ashike mimba haraka

Nifanyeje ili mke wangu ashike mimba haraka

Miez sita michache Sana hyo watu wanakaa Hadi miaka 20 na wanapima wanaambiwa hakuna tatizo lolote mtoto Ni neema kutoka kwa Mungu kuwa na subra kwenye Hilo

Nendeni hospital pata ushaur wa gynerclgst Mwenyez Mungu atakusaidia

Ikishindikana hospital Rudi katika Tiba mbadala Mana ukiwa na majini mahaba mwili huwa wanablock had kizaz
sawa mkuu
 
Ratiba ya nini, apige kitu kila siku anaweza akabahatisha.
Kupata mtoto wala sio kila siku, kwanza lazima ale vyakula bora ili kuimarisha mbegu zake, sasa hyo ya kila siku mbegu zinakuwa dhaifu.
 
Mwombe mungu na uache kupania "K" ipo tu siku zote, unalala nayo una amka nayo, usipange muda wa Sex, mda wowote ikidisa hapo hapo mpe show, itakamata tu.
Pia hakikisha asikose "Morning glory" ile asubuhi mwamshe akakojoe, then piga imoja fasta ndio muamke msali , muoge kwenda kazini"
ila ni mapema sana, Bashite alikaa miaka 9 ndio akapata.
sawa mkuu
 
Tulia kijana, habari ya mtoto itakuja tu. Mbona bado mapema mno kuwaza habari za watoto?
Fanyeni tendo kama starehe tu, na kusiwe na presha au mawazo juu ya mtoto. Mimi nilipata mtoto baada ya mwaka hivi, wengine miaka hata miwili , punguza hofu, safari ndo imeanza.
Ahsante kwa ushauri wako mzee
 
kwa wiki mimi na mke wangu tunakutana mara 3 kufanya tendo la ndoa.
Imenikumbusha wakati nmemuoa wife nilikuwa napiga mechi mda wote yaan asubuh jioni yaan kwa siku naweza kumdinya hata mara tatu. ndani ya mwezi tu ndoa ILIJIBU dadeq😂...kwahyo kijana ongeza juhudi usiwe mzembe jitahidi kupiga kila siku na kingne muwe mnafanya doggy style,huwa rahisi mwanamke kushika mimba,pia wakat unagegeda kama una uume mfupi kaeni style popo kanyea mbingu maana usikute una kafupi kwahyo unashindwa kufikisha mbegu kwenye kizazi cha mkeo...
 
Imenikumbusha wakati nmemuoa wife nilikuwa napiga mechi mda wote yaan asubuh jioni yaan kwa siku naweza kumdinya hata mara tatu. ndani ya mwezi tu ndoa ILIJIBU dadeq[emoji23]...kwahyo kijana ongeza juhudi usiwe mzembe jitahidi kupiga kila siku na kingne muwe mnafanya doggy style,huwa rahisi mwanamke kushika mimba,pia wakat unagegeda kama una uume mfupi kaeni style popo kanyea mbingu maana usikute una kafupi kwahyo unashindwa kufikisha mbegu kwenye kizazi cha mkeo...
Ahsante mkuu
 
Za mwizi ni 40, cha kufanya stop kufanya sex siku anaingia period mpaka siku ya 10 baada ya kumaliza period ya mwezi unaofuata.

Kipindi hicho cha kustop mwezi 1 kula vizuri na ushibe, matunda kwa wingiiiii, acha kula chipsi na soda.

Mwezi ukiisha na baada ya siku ya 10 baada ya kumaliza period anza kuchochea mwanangu siku 5 mfululizo, NO MERCY ikiwezekana pasua placenta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Miez sita michache Sana hyo watu wanakaa Hadi miaka 20 na wanapima wanaambiwa hakuna tatizo lolote mtoto Ni neema kutoka kwa Mungu kuwa na subra kwenye Hilo

Nendeni hospital pata ushaur wa gynerclgst Mwenyez Mungu atakusaidia

Ikishindikana hospital Rudi katika Tiba mbadala Mana ukiwa na majini mahaba mwili huwa wanablock had kizaz
Atiii? Wapate ushauri wa nani??
 
Back
Top Bottom