BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Hapo juu nimekusoma kwamba baada ya wewe kuzaliwa aliambiwa (istoshe niliambiwa kwamba nilipozaliwa aliambiwa ila kwasabau ya system ya jeshi ya wakati huo hakuweza kusema juu ya hatma yangu, so alimwacha mama kwenye wakati mgumu sana na hapo ndipo walipopotezana kimawasiliano) sasa kama ni kweli walipotezana kimawasiliano kwa maoni yangu Baba mwenye mapenzi ya kweli kwa mwanae angehangaika huku na kule kumtafuta mama ili kujua mwanae anaendeleaje maana ni miaka mingi imekatika hata kama system ya jeshi ilikuwa ngumu bado angeweza kumtafuta mama ili kujua hali ya mtoto wake. Kuwa makini sana kama unataka kuendelea na hili maana unaweza kuwaumiza watu wengi sana ukiwemo wewe mwenyewe.
Anza kwa simu kwanza kama unaweza kupata namba ya simu ya ofisini kwake ujitambulishe uone mwelekeo wake. Kama hukuridhika na maongezi yenu ya simu basi achana naye.
Anza kwa simu kwanza kama unaweza kupata namba ya simu ya ofisini kwake ujitambulishe uone mwelekeo wake. Kama hukuridhika na maongezi yenu ya simu basi achana naye.
rafiki yanu mpenzi thanks a lot.
kuhusu ishu ya yy kuwa mzito naenda kutafuta unafuu labda ajishuku tu manake ukweli sina shida kiviile ya maisha na si kwangu tu hata kwa wanangu najimudu kimtindo.
nafsi yanu sijui kwann inaniimbia sana juu ya kumtafuta huyu baba, mpaka nakosa amani kabisa lkn naogopa sana nisije nikamuudhi baba mlezi na mama yangu. Lkn nafikir kuna sababu za yy baba mzazi kujua kwamba mm ni mwanae ama unasemaje hapo??[/QUOTE]