Hayo ma used utapeleka wapi?Wana jf nataka niende dar es salaam na natamani kumiliki demu maarufu kama Paula, Uwoya, wolper. Pesa ninayo, gari ninayo (range), wananchi wa dar nitumie mbinu zipi ili niwanase hao watoto wakali🙏🙏🙏
Yaani wajinga wengiUtoto raha sana.
Mtu aliyefikia stage ya kumiliki Range hawezi kua na akili ya kijinga kiasi hiki kuuliza swali kama hili.Yaani wajinga wengi
Chase your purposes and not women.Wana jf nataka niende dar es salaam na natamani kumiliki demu maarufu kama Paula, Uwoya, wolper. Pesa ninayo, gari ninayo (range), wananchi wa dar nitumie mbinu zipi ili niwanase hao watoto wakali🙏🙏🙏
Mtaji wa mtu huoTafuta pesa hao wote wanauza ila uwe tayari kutumia laki5 wa siku
Kumbuka upo Jamiiforums na sio fesibuku.Wana jf nataka niende dar es salaam na natamani kumiliki demu maarufu kama Paula, Uwoya, wolper. Pesa ninayo, gari ninayo (range), wananchi wa dar nitumie mbinu zipi ili niwanase hao watoto wakali🙏🙏🙏